Unatafuta wa KUKUZIBUA? Maana husikii vizuri
tatizo lako ni moja. hukubali wawazo mbadala. unataka mtu asifie chadema ndiyo utamuelewa. nenda kwa daktari ukatibiwe huo upofu ili uweze kuyasoma vizuri yaliyoandikwa ktk thread hii ya chdm kunani?
Unatafuta wa KUKUZIBUA? Maana husikii vizuri