Edson Carrington
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 216
- 637
Habari wakuu,
Kweli nimeamiani kwenye kundi la kenge huwezi kosa na mamba. Na pia samaki mmoja akioza si kwamba wote wataoza.
Nimeongea hayo kwa kujithibitishia kwa kuona baadhi ya watumishi wa umma wanafanya kazi zao kwa umakini na kwa weledi mkubwa sana. Kweli kuna watumishi waliapa kiapo cha haki kabisa.
Nilienda almost mara tatu pale branch ya RITA manispaa karibu na uwanja wa TAIFA , nikakutana na mwamba mmoja anaitwa Jose, huyu mwamba anapiga kazi kisawa sawa yaani, yaani yuko tayari hata asile mlo wowote ule ila ahakikishe wateja wake wote wamepata huduma.
Mwamba mcheshi na akiwa kazini anapiga kazi like hakuna kesho. Jamaa hana dharau na sio mtu wa kufokea wateja kama wafanyavyo baadhi ya watumishi. Pia mwamba ana nidhamu na ni mtu makini sana.
Kuna siku jamaa alizidisha muda wake wa kazi kutoka saa 6 mpaka 12 jioni, kwa kuhudumia wateja. Huyu mwamba aliniaminisha kuwa si watumishi wote ni wahuni. Bali kuna wapiga kazi kweli kweli.
Hongera sana mwamba kama umesoma uzi huu basi big up man, soon utatoka sehemu moja na kwenda nyingine kaka
Kweli nimeamiani kwenye kundi la kenge huwezi kosa na mamba. Na pia samaki mmoja akioza si kwamba wote wataoza.
Nimeongea hayo kwa kujithibitishia kwa kuona baadhi ya watumishi wa umma wanafanya kazi zao kwa umakini na kwa weledi mkubwa sana. Kweli kuna watumishi waliapa kiapo cha haki kabisa.
Nilienda almost mara tatu pale branch ya RITA manispaa karibu na uwanja wa TAIFA , nikakutana na mwamba mmoja anaitwa Jose, huyu mwamba anapiga kazi kisawa sawa yaani, yaani yuko tayari hata asile mlo wowote ule ila ahakikishe wateja wake wote wamepata huduma.
Mwamba mcheshi na akiwa kazini anapiga kazi like hakuna kesho. Jamaa hana dharau na sio mtu wa kufokea wateja kama wafanyavyo baadhi ya watumishi. Pia mwamba ana nidhamu na ni mtu makini sana.
Kuna siku jamaa alizidisha muda wake wa kazi kutoka saa 6 mpaka 12 jioni, kwa kuhudumia wateja. Huyu mwamba aliniaminisha kuwa si watumishi wote ni wahuni. Bali kuna wapiga kazi kweli kweli.
Hongera sana mwamba kama umesoma uzi huu basi big up man, soon utatoka sehemu moja na kwenda nyingine kaka
