Kuna watumishi wanajituma sana!

Kuna watumishi wanajituma sana!

Edson Carrington

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2022
Posts
216
Reaction score
637
Habari wakuu,

Kweli nimeamiani kwenye kundi la kenge huwezi kosa na mamba. Na pia samaki mmoja akioza si kwamba wote wataoza.

Nimeongea hayo kwa kujithibitishia kwa kuona baadhi ya watumishi wa umma wanafanya kazi zao kwa umakini na kwa weledi mkubwa sana. Kweli kuna watumishi waliapa kiapo cha haki kabisa.

Nilienda almost mara tatu pale branch ya RITA manispaa karibu na uwanja wa TAIFA , nikakutana na mwamba mmoja anaitwa Jose, huyu mwamba anapiga kazi kisawa sawa yaani, yaani yuko tayari hata asile mlo wowote ule ila ahakikishe wateja wake wote wamepata huduma.

Mwamba mcheshi na akiwa kazini anapiga kazi like hakuna kesho. Jamaa hana dharau na sio mtu wa kufokea wateja kama wafanyavyo baadhi ya watumishi. Pia mwamba ana nidhamu na ni mtu makini sana.

Kuna siku jamaa alizidisha muda wake wa kazi kutoka saa 6 mpaka 12 jioni, kwa kuhudumia wateja. Huyu mwamba aliniaminisha kuwa si watumishi wote ni wahuni. Bali kuna wapiga kazi kweli kweli.

Hongera sana mwamba kama umesoma uzi huu basi big up man, soon utatoka sehemu moja na kwenda nyingine kaka
 
Habari wakuu,

Kweli nimeamiani kwenye kundi la kenge huwezi kosa na mamba. Na pia samaki mmoja akioza si kwamba wote wataoza.

Nimeongea hayo kwa kujithibitishia kwa kuona baadhi ya watumishi wa umma wanafanya kazi zao kwa umakini na kwa weledi mkubwa sana. Kweli kuna watumishi waliapa kiapo cha haki kabisa.

Nilienda almost mara tatu pale branch ya RITA manispaa karibu na uwanja wa TAIFA , nikakutana na mwamba mmoja anaitwa Jose, huyu mwamba anapiga kazi kisawa sawa yaani, yaani yuko tayari hata asile mlo wowote ule ila ahakikishe wateja wake wote wamepata huduma.

Mwamba mcheshi na akiwa kazini anapiga kazi like hakuna kesho. Jamaa hana dharau na sio mtu wa kufokea wateja kama wafanyavyo baadhi ya watumishi. Pia mwamba ana nidhamu na ni mtu makini sana.

Kuna siku jamaa alizidisha muda wake wa kazi kutoka saa 6 mpaka 12 jioni, kwa kuhudumia wateja. Huyu mwamba aliniaminisha kuwa si watumishi wote ni wahuni. Bali kuna wapiga kazi kweli kweli.

Hongera sana mwamba kama umesoma uzi huu basi big up man, soon utatoka sehemu moja na kwenda nyingine kaka
Sawa Jose komaa

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu,

Kweli nimeamiani kwenye kundi la kenge huwezi kosa na mamba. Na pia samaki mmoja akioza si kwamba wote wataoza.

Nimeongea hayo kwa kujithibitishia kwa kuona baadhi ya watumishi wa umma wanafanya kazi zao kwa umakini na kwa weledi mkubwa sana. Kweli kuna watumishi waliapa kiapo cha haki kabisa.

Nilienda almost mara tatu pale branch ya RITA manispaa karibu na uwanja wa TAIFA , nikakutana na mwamba mmoja anaitwa Jose, huyu mwamba anapiga kazi kisawa sawa yaani, yaani yuko tayari hata asile mlo wowote ule ila ahakikishe wateja wake wote wamepata huduma.

Mwamba mcheshi na akiwa kazini anapiga kazi like hakuna kesho. Jamaa hana dharau na sio mtu wa kufokea wateja kama wafanyavyo baadhi ya watumishi. Pia mwamba ana nidhamu na ni mtu makini sana.

Kuna siku jamaa alizidisha muda wake wa kazi kutoka saa 6 mpaka 12 jioni, kwa kuhudumia wateja. Huyu mwamba aliniaminisha kuwa si watumishi wote ni wahuni. Bali kuna wapiga kazi kweli kweli.

Hongera sana mwamba kama umesoma uzi huu basi big up man, soon utatoka sehemu moja na kwenda nyingine kaka
Sawa jose

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu,

Kweli nimeamiani kwenye kundi la kenge huwezi kosa na mamba. Na pia samaki mmoja akioza si kwamba wote wataoza.

Nimeongea hayo kwa kujithibitishia kwa kuona baadhi ya watumishi wa umma wanafanya kazi zao kwa umakini na kwa weledi mkubwa sana. Kweli kuna watumishi waliapa kiapo cha haki kabisa.

Nilienda almost mara tatu pale branch ya RITA manispaa karibu na uwanja wa TAIFA , nikakutana na mwamba mmoja anaitwa Jose, huyu mwamba anapiga kazi kisawa sawa yaani, yaani yuko tayari hata asile mlo wowote ule ila ahakikishe wateja wake wote wamepata huduma.

Mwamba mcheshi na akiwa kazini anapiga kazi like hakuna kesho. Jamaa hana dharau na sio mtu wa kufokea wateja kama wafanyavyo baadhi ya watumishi. Pia mwamba ana nidhamu na ni mtu makini sana.

Kuna siku jamaa alizidisha muda wake wa kazi kutoka saa 6 mpaka 12 jioni, kwa kuhudumia wateja. Huyu mwamba aliniaminisha kuwa si watumishi wote ni wahuni. Bali kuna wapiga kazi kweli kweli.

Hongera sana mwamba kama umesoma uzi huu basi big up man, soon utatoka sehemu moja na kwenda nyingine kaka
Ulivyotaja jina la jose nimemkumbuka mwamba mmoja pia anaitwa jose alikuwa pale uhamiaji posta yule jamaa kwakweli kwa anajituma kinoma yaan tulijikuta watu wengi tuliohudumiwa na huyo jamaa tulikaa pembeni na kuanza kumsifia kwa huduma aliyotupatia. Watu kama hao wapo ila sijui inakuwaje hawapandagi vyeo na kuwa top kwenye sehem zao za kazi. (ningekuwa na uwezo kwa ile siku ningempandisha vyeo fasta)

Mara ya mwisho nilimuona pale airport ila sijui kama yupo mpaka leo au wamemtupa maporini akahudumie visiki
 
Ulivyotaja jina la jose nimemkumbuka mwamba mmoja pia anaitwa jose alikuwa pale uhamiaji posta yule jamaa kwakweli kwa anajituma kinoma yaan tulijikuta watu wengi tuliohudumiwa na huyo jamaa tulikaa pembeni na kuanza kumsifia kwa huduma aliyotupatia. Watu kama hao wapo ila sijui inakuwaje hawapandagi vyeo na kuwa top kwenye sehem zao za kazi. (ningekuwa na uwezo kwa ile siku ningempandisha vyeo fasta)

Mara ya mwisho nilimuona pale airport ila sijui kama yupo mpaka leo au wamemtupa maporini akahudumie visiki
Sometimes huwa wanafanyiwa fitna
 
Habari wakuu,

Kweli nimeamiani kwenye kundi la kenge huwezi kosa na mamba. Na pia samaki mmoja akioza si kwamba wote wataoza.

Nimeongea hayo kwa kujithibitishia kwa kuona baadhi ya watumishi wa umma wanafanya kazi zao kwa umakini na kwa weledi mkubwa sana. Kweli kuna watumishi waliapa kiapo cha haki kabisa.

Nilienda almost mara tatu pale branch ya RITA manispaa karibu na uwanja wa TAIFA , nikakutana na mwamba mmoja anaitwa Jose, huyu mwamba anapiga kazi kisawa sawa yaani, yaani yuko tayari hata asile mlo wowote ule ila ahakikishe wateja wake wote wamepata huduma.

Mwamba mcheshi na akiwa kazini anapiga kazi like hakuna kesho. Jamaa hana dharau na sio mtu wa kufokea wateja kama wafanyavyo baadhi ya watumishi. Pia mwamba ana nidhamu na ni mtu makini sana.

Kuna siku jamaa alizidisha muda wake wa kazi kutoka saa 6 mpaka 12 jioni, kwa kuhudumia wateja. Huyu mwamba aliniaminisha kuwa si watumishi wote ni wahuni. Bali kuna wapiga kazi kweli kweli.

Hongera sana mwamba kama umesoma uzi huu basi big up man, soon utatoka sehemu moja na kwenda nyingine kaka
Naona unajipa promo bro jose! Isijari macho malegevu atakupa teuzi
 
Nikisoma shuhuda kama hizi huwa napata amani kidogo, maana kwa kweli nilisha generalise kuwa watu ishi wote wa umma ni mashetani, hasa polisi, mahakama, uhamiaji, na hospitalini , huko kote niliishia kupata si huduma baki adhabu kali iliyosababisha nijute kuzaliwa Tanzania, ila kama bado kuna watu wema hata wachache kama huyo Jose nawa ombea kwa Mungu awape mlima wa baraka, si rahisi kuwa mwema kwenye mfumo uliooza, hata kama mtoa mada ndiye Jose mwenyewe atakuwa anaiishi hadithi yake hii tamu yenye kutupa matumaini sisi tulio wahitaji, Mungu akubariki sana Jose.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hapana mzeeh si mimi
Mi nasema ukweli! Kuna Mama mmoja pale Baraza la Aridhi na Nyumba Tanga anajiita D. W. Mangure ndiyo Mwenyekiti pale, yule Mama ni mlaa rushwa sana,na anapenda kuendesha Magari makubwa Kama Alfadi!! Naomba Takukuru Makao makuu wamchunguze kimya kimya, hasa kwenye hukumu zake anazotoa, huwa anawa fever sana wenye pesa bila hata ya aibu! Yaani hukumu zake zinatofautiana hadi na maoni ya Wazee wa Baraza lake!!
 
Nikisoma shuhuda kama hizi huwa napata amani kidogo, maana kwa kweli nilisha generalise kuwa watu ishi wote wa umma ni mashetani, hasa polisi, mahakama, uhamiaji, na hospitalini , huko kote niliishia kupata si huduma baki adhabu kali iliyosababisha nijute kuzaliwa Tanzania, ila kama bado kuna watu wema hata wachache kama huyo Jose nawa ombea kwa Mungu awape mlima wa baraka, si rahisi kuwa mwema kwenye mfumo uliooza, hata kama mtoa mada ndiye Jose mwenyewe atakuwa anaiishi hadithi yake hii tamu yenye kutupa matumaini sisi tulio wahitaji, Mungu akubariki sana Jose.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kila nyanja kwenye Utumish wa Umma,kuna wema na kuna waovu,nikumuwomba Mungu awe anakukutanisha na Watumishi wema,wenye hofu ya Mungu ya ukweli! Maana siku hizi kuna wengine wanajifanya Wana hofu ya Mungu kumbe nyuma ya pazia hata Shetani mwenyewe anawaogopa kutokana na Mambo wanayofanya!!
 
Back
Top Bottom