Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,913
Labda anawalipiza wale mliokuwa mnawatukana kuwaombea kifo VIONGOZI WA CUF, ASKARI na VIONGOZI WA KIBITINi shetani huyo, yeye anadhani ana hati miliki ya kuishi milele
Labda anawalipiza wale mliokuwa mnawatukana kuwaombea kifo VIONGOZI WA CUF, ASKARI na VIONGOZI WA KIBITINi shetani huyo, yeye anadhani ana hati miliki ya kuishi milele
Huyu jitu ni katili mno...!!
Duuh hatare sana aiseeHSIO KATILI NI MLEMAVU WA AKILI HAJUI ANACHOONGEA.
Unajua mengi ila hutaki kuyasema, simpendi Lissu lakini maisha yake yasipotee kwa chuki za kisiasa damu ya mtu haipoteiIngekuwa mtu wa chama tawala nanyi msingekuwa tofauti na huyo.. tunajua watu wengi wanavyoandika humu JF.
Hata mimi sijapenda..ila ndo freedom of speech ambayo hata Lissu anaipigania kila sikuSheria za mtandao acha tusubiri kama zitatumiwa hapo.
Binafsi nauchukia sana mtandao was fb na sbb kubwa ni aina ya baadhi ya watumiaji wa mtandao huo na fikra zao..![]()
Facebook account ni Suleiman Othman
View attachment 583475
Sijapenda kabisa kauli ya huyu jamaa aliyoitoa katika mtandao wa Facebook
Atakuwa alipewa ila akashindwa
Kwahiyo yuko sahihi kwa upande alosimama??????Ingekuwa mtu wa chama tawala nanyi msingekuwa tofauti na huyo.. tunajua watu wengi wanavyoandika humu JF.