Kuna watu wana mioyo migumu sana

Kuna watu wana mioyo migumu sana

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,632
21317901_1572706839457165_8542264802111272101_n.jpg


Facebook account ni Suleiman Othman

upload_2017-9-7_17-40-39.png



Sijapenda kabisa kauli ya huyu jamaa aliyoitoa katika mtandao wa Facebook
 
Aidha nikubaliane na hali halisi au nirudi usingizini nikaishi kwenye ndoto milele......

"Waafrika walianza kuwa wajinga pale walipoanza kwenda shule"
 
Nimeona TISS hapo.
No. He is just a TISS agent copycat. Kirefu cha TISS kina 'security services' sio 'secrety service'. Angekuwa mmoja wao, wala asingejitambulisha facebook halafu akaachwa.

Kuna watu wanadhani kuwa TISS ni kama kuwa mungu-mtu, hivyo wanatamani wawe hata kama hawapo huko.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
mh, hayo maneno yangetolewa kwa kiongozi yyte wa ccm huyo jamaa asingemaliza hata siku uraiani
 
Back
Top Bottom