Kuna watu ni wabinafsi sana

Kuna watu ni wabinafsi sana

Ila ukumbuke hiyo laki tatu inayopatikana kwa sasa kwenye hayo mauzo ya siku siyo faida! Ukija kuchanganua unaweza kukuta faida kwa siku haifiki hata laki!

Na bado huyo Bosi wako anawajibika kulipa marejesho ya benki kila mwezi (kama yapo), kuna kodi ya TRA na Halmashauri! Kuna kodi ya pango! Na yeye mwenyewe angetamani apate faida kubwa, ili apige hatua ya kimaendeleo, nk.

Hivyo kwa upande wangu nakushauri tu uwe mpole. Na huo siyo ubinafsi! Huo ni ubepari. Siku zote huo mfumo unamtaka mtu apiganie faida kubwa, huku akihakikisha gharama za uendeshaji ziko chini.
Kama alichoandika ni kweli, kumbuka kasema mwanzo biashara ilikua ina mauzo ya 150k yeye kapandisha hadi 300k, hizo assumptions ulizoweka kama ziko sahihi basi angekua amefunga biashara kitambo.

Huyo boss faida anapata ni vile tu maboss wa kibongo wana mentality nloongelea hapo juu, wanaamini kwenye unyonyaji wa wafanyakazi lkn hio pia ni matokeo ya tabia za wafanyakazi walio wengi, it's cause and effects
 
Rudi mkoani ukaanze safari ya kuja tena maana nauli aliyokutumia inamuuma,inakuaje upate kazi nyingine kwa kutumia nauli yake?
lakini aliikata kwenye mshahara wangu. pia si kwamba nilikuwa sijishughulishi nilikuwa nachoma mihogo mtaani
 
Salaam.

Moja kwa moja kwenye mada.
kwa ufupi kuna kipindi fulani nilikuwa na kipindi kigumu sana. Kuna kaka mmoja kaka wa rafiki yangu akaniunganishia kazi hapa Dar es Salaam. Ila wakati napata kazi hii nilikuwa mkoani msibani hivyo boss wangu alinitumia nauli kutoka mkoani kuja Dar kwa ajili ya kazi.

Wakati tunapatana mshahara maongezi yetu yalikuwa kwenye simu tu. Alinuuliza nataka kulipwa sh ngapi nikamwambia nataka laki tatu. akasema atanilipa sh 240,000/= ila mauzo yakipanda ataniongezea.

Na ni sehemu ya kupanda magari mawili kutoka napoishi mpaka kazini. na unajitegemea kwa kila kitu. kwa hela hiyo hiyo. kwa kuwa nilikuwa na shida ilibidi nikubali.
akaniambia mauzo yakipanda ataniongezea na nikifanya kazi ndani ya miezi mitatu angeniongezea mpaka laki tatu niliyoitaka.

Nikaanza kazi sasa ni miezi kumi na moja toka nimeanza kazi hajawahi niongezea hata mia. na mauzo yalipanda kutoka laki na nusu kwa siku mpaka sasa tunauza laki tatu mpaka nne kwa siku. kazi kunisifia kwa mdomo tu.

Kuna wizi ulikuwa unafanyika hapa ofisini nilifanikiwa kuudhibiti na alokuwa anawaibia ni mtoto wao mtoto wa kaka wa boss wangu kwani mwanzoni ndo walikuwa wakiendesha hii biashara.

Jumatatu kuna mtu alikuja kazini kwetu akasema kuna ofisi ya kichina wanahitaji mfanyakazi mwenye sifa kama zangu (secretary) atanifanyia mpango. nikamwambia sawa nikauliza wanalipa sh ngap akanambia laki tano nikasema nipo tayari ila akasema mshahara wa kwanza lazima tugawane nikakubaliana nae akasema ngoja afanye mpango. huyo mtu anafanya kazi kwa Wachina.

Wakati wa maongezi hayo kuna binti wa boss alikuwepo alisikia kila kitu akaenda kumwambia baba yake. jana boss kaja analalamika kuwa siwezi kwenda kufanya kazi sehemu yoyoye sababu yeye alinitumia naul kutoka mkoani.

Pili, duka lake lilikuwa linaanza kuchangamka lingeendelea hivi mpaka january angeniongezea hela. na kudai mimi ni mfanyakazi wake siwezi kuacha kazi kwake. nimemshangaa sana kazi yenyewe haijawa rasmi ananiambia nikija kuacha kazi nimpe taarifa miezi minne mbele ili ajipange. Kweli watu ni wabinafsi sana.
simple omba likizo bila malipo unaenda kumuuguza ndugu huko mkoani ndio imetoka iyo.
 
If you came from mediocre life bora uendelee Kuwa positive na kujituma kazini hela huwa haipo mwanzoni IPO mwishoni

Jitahidi uwe Job oriented for a while ili upate experience , exposure and network plus connection.

Ili siku ukitoka hapo ujue uanenda wapi na sio kutanga tanga Mara huku mara kule.

Pia hao wachina most of them hawana utu atakupa hela Ila you will never grow .

So tenga muda wa kujua mambo kiundani

Unaweza ukawa unapa 240k Ila ukapata uzoefu , ukapata connection na ukapata watu so ukitoka hapo kafungue duka lako sio unatoka hapo unaenda kuwa mtumwa , mediocre , dumber
 
Salaam.

Moja kwa moja kwenye mada.
kwa ufupi kuna kipindi fulani nilikuwa na kipindi kigumu sana. Kuna kaka mmoja kaka wa rafiki yangu akaniunganishia kazi hapa Dar es Salaam. Ila wakati napata kazi hii nilikuwa mkoani msibani hivyo boss wangu alinitumia nauli kutoka mkoani kuja Dar kwa ajili ya kazi.

Wakati tunapatana mshahara maongezi yetu yalikuwa kwenye simu tu. Alinuuliza nataka kulipwa sh ngapi nikamwambia nataka laki tatu. akasema atanilipa sh 240,000/= ila mauzo yakipanda ataniongezea.

Na ni sehemu ya kupanda magari mawili kutoka napoishi mpaka kazini. na unajitegemea kwa kila kitu. kwa hela hiyo hiyo. kwa kuwa nilikuwa na shida ilibidi nikubali.
akaniambia mauzo yakipanda ataniongezea na nikifanya kazi ndani ya miezi mitatu angeniongezea mpaka laki tatu niliyoitaka.

Nikaanza kazi sasa ni miezi kumi na moja toka nimeanza kazi hajawahi niongezea hata mia. na mauzo yalipanda kutoka laki na nusu kwa siku mpaka sasa tunauza laki tatu mpaka nne kwa siku. kazi kunisifia kwa mdomo tu.

Kuna wizi ulikuwa unafanyika hapa ofisini nilifanikiwa kuudhibiti na alokuwa anawaibia ni mtoto wao mtoto wa kaka wa boss wangu kwani mwanzoni ndo walikuwa wakiendesha hii biashara.

Jumatatu kuna mtu alikuja kazini kwetu akasema kuna ofisi ya kichina wanahitaji mfanyakazi mwenye sifa kama zangu (secretary) atanifanyia mpango. nikamwambia sawa nikauliza wanalipa sh ngap akanambia laki tano nikasema nipo tayari ila akasema mshahara wa kwanza lazima tugawane nikakubaliana nae akasema ngoja afanye mpango. huyo mtu anafanya kazi kwa Wachina.

Wakati wa maongezi hayo kuna binti wa boss alikuwepo alisikia kila kitu akaenda kumwambia baba yake. jana boss kaja analalamika kuwa siwezi kwenda kufanya kazi sehemu yoyoye sababu yeye alinitumia naul kutoka mkoani.

Pili, duka lake lilikuwa linaanza kuchangamka lingeendelea hivi mpaka january angeniongezea hela. na kudai mimi ni mfanyakazi wake siwezi kuacha kazi kwake. nimemshangaa sana kazi yenyewe haijawa rasmi ananiambia nikija kuacha kazi nimpe taarifa miezi minne mbele ili ajipange. Kweli watu ni wabinafsi sana.
Sio watu wabinafsi hapo Ameshacheki nyota yako mkuu kaona akikaa na wewe atatoboa..
jiongeze sasa hapo
 
kazi yenyewe haijawa rasmi yalikuwa maongezi tu.
Hakikisha unapata mkataba wa ajira kwa Mchina kabla hujaacha kazi hapo ulipo. Je una mkataba hapo ulipo?
Kabla hujaacha kazi hapo, rudisha nauli uliyotumiwa.
Mfate rafiki yako aliyekutafutia kazi umweleze, usijetengenezewa zengwe nyuma yako.
 
If you came from mediocre life bora uendelee Kuwa positive na kujituma kazini hela huwa haipo mwanzoni IPO mwishoni

Jitahidi uwe Job oriented for a while ili upate experience , exposure and network plus connection.

Ili siku ukitoka hapo ujue uanenda wapi na sio kutanga tanga Mara huku mara kule.

Pia hao wachina most of them hawana utu atakupa hela Ila you will never grow .

So tenga muda wa kujua mambo kiundani

Unaweza ukawa unapa 240k Ila ukapata uzoefu , ukapata connection na ukapata watu so ukitoka hapo kafungue duka lako sio unatoka hapo unaenda kuwa mtumwa , mediocre , dumber
na mimi ndo lengo langu. ila nimeshangaa alivyolipokea
 
Hakikisha unapata mkataba wa ajira kwa Mchina kabla hujaacha kazi hapo ulipo. Je una mkataba hapo ulipo?
Kabla hujaacha kazi hapo, rudisha nauli uliyotumiwa.
Mfate rafiki yako aliyekutafutia kazi umweleze, usijetengenezewa zengwe nyuma yako.
sina mpango wa kwenda kwa hao wachina yalikuwa maongezi tu. nataka kwenda kufungua kazi yangu mwakani panapo majaliwa ila nimeshangaa boss wangu alivyolipokea.
 
Back
Top Bottom