Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,109
- 4,598
Sister acha tu! kama kuna watu hawaamini mambo ya kiroho basi hawajapitia changamoto zinazoitaji Nguvu ya Mungu! Dunia ina mambo mengi sana hii!
Neema ya Mungu inahitajika! mbele ya safari nitakuja kuleta story hapa ya niliyopitia na Namna gani Mungu aliniokoa.!