Kuna watu mnakichukulia poa Chama Cha Mapinduzi

Kuna watu mnakichukulia poa Chama Cha Mapinduzi

Maswali ya kushabikia watu au vyama yamepitwa na wakati tunatakiwa kuangalia kiongozi bora na sio Mbwembwe nyingi na maneno mengi yanayoturudisha nyuma Watanzania na sio kupinga kila kitu kinachofanywa na Serikari kitu hatupo Kwa ajili ya mashindano Bali kujenga Taifa letu

Kuna watu wameasiliwa kisaikologia na kujikuta wametekwa bila kujua hushabikia watu na vyama huamini kila lisemwalo na hao wanasiasa hata huyo mwanasiasa akiongea uovu,wao bila kuchambua pumba na mchele hubaki na kuamini hizo pumba badala ya kuchambua na kupata uhakika ndo kuamini tubadilike

Maendeleo hayana chama
 
Back
Top Bottom