Amazon Woman
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 796
- 1,192
Hahaha Mimi ke ndio ila kwenye wafupi sipo.Duuh kumbe we ni Ke.. Alafu short n sweet[emoji23][emoji23]
.
164cm akii siwezi jiita Mimi mfupi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha Mimi ke ndio ila kwenye wafupi sipo.Duuh kumbe we ni Ke.. Alafu short n sweet[emoji23][emoji23]
Ooh sio mfupiHahaha Mimi ke ndio ila kwenye wafupi sipo.
.
164cm akii siwezi jiita Mimi mfupi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HhhhhhhhhhhIle license agreement kuna wanoko wanaisoma yote, hakuna kuleteana mzaha kwenye mambo ya msingi
Usimseme shemejio bana😂😂😂Mzee unanikumbusha mengi sana kuhusu hawa wanawake wafupi;
1. Huwa wana upendo wa kweli wanapopenda.
2. Wanatupenda sisi wanaume warefu kiasi.
3. Ni waongeaji wazuri ukiwaelewa. Wako romantic sana. Akikupenda hafichi kitu, she will tell you everything.
4. Watu huwaogopa kwa kuwa ni wakali mno kwa watu wa nje ila kwa mpenzi wake huwa wapole sana.
5. Huwa wanaongoza kuumizwa kwenye mapenzi kwa sababu wakishachukia hawana breki ya matusi.
- Wanaongoza kwa kutukana; utadhani wana kamusi ya matusi ya kitaa.
Nimeongea kwa uzoefu wa kuwa nao kimahusiano.
Hawana kabisaWarefu bhana hawana longo longo