Kuna wanawake wana mioyo ya chuma

Kuna wanawake wana mioyo ya chuma

mbona kawaida hiyo duuu kuna moja ilitokea mtwara mitaa ya stendi pale vigaeni mchana kweupe kwenye gesti moja uwiiiii ilikuwa shidanian mbona
 
Hii hatari sana.Kuishi na mwanamke mzinifu ni balaa.Hii inatokana na sababu kua sku hizi vijana wanaoa wanawake ambao wameshakubuhu kias kwamba inakua ngumu kumridhisha kimapenzi.Utashangaa mwanamke alishagawa uroda Kwa wanaume zaidi ya 50 kabla ya kuolewa,ukisafiri kidogo tu anawarudia.Mi hua naaga ninapoenda safarini ila kurudi ni ghafla kama JK.
Aisee sasa presha zote za nini??!! Kama vipi si bora uwe single tu.
 
uyo jamaa anahuruma sna mi ata bikin simpi angetoka km alivokuwa anasaliti..
Ni mama wa watoto wako. Saa nyingine unatakiwa kufanya maamuzi ukiwafikiria watoto. Mwanamke ukishazaa nae kuna vitu hutakiwi kufanya kabisa maana ukimdhalilisha yeye unawadhalilisha watoto pia na mbaya zaidi hawa watoto wataathirika katika maisha yao yote.

Watoto mkuu watoto....
 
Inawezekana jamaa alikuwa anasahau kuwa ana mke nyumbani...anafukuza pesa 24/7...japo sitetei uzinzi; ikifika mpaka mke kunogewa na kukaribisha mwanaume mwingine ndani kuna maswali mengi kuliko majibu...

Na asipojirekebisha atachapiwa sana hata aoe mara kumi...wamama wakiolewa hawafati magorofa; wanafuata mume
NK ishu sio kuchapiwa as much as kachapiwa wapi? Mimi mke wangu akimegwa mitaani huko uamuzi nitakaochukua ni tofauti sana na akimegewa ndani kwangu tena katika kitanda changu mwenyewe.
 
Koooooh! Koooooh!
lara moko naona unafuraaahi mwenyewe ila kumbuka habari ndio kama hizi. Ni vigumu sana kukuta mtu anaanzisha uzi kuhusu mume aliyerudi akapokelewa vizuri na mke, akapewa chakula na wakafurahia mapenzi yao kwa sababu kawaida sio habari.

Mfano mwingine ni mara chache sana kukuta mtu ataanzisha uzi kwamba ndoa yangu ni tamu na ninaifurahia, kwanza muda huo anakuwa bize kufurahia maisha lakini kikinuka ndio utaona anakuja. Kwa maneno mengine kwa fumanizi hili nina hakika kuna ndoa nyingine 1000 ziko vizuri hadi muda huu.
 
NK ishu sio kuchapiwa as much as kachapiwa wapi? Mimi mke wangu akimegwa mitaani huko uamuzi nitakaochukua ni tofauti sana na akimegewa ndani kwangu tena katika kitanda changu mwenyewe.
Usimpe ibilisi nafasi
 
Ni mama wa watoto wako. Saa nyingine unatakiwa kufanya maamuzi ukiwafikiria watoto. Mwanamke ukishazaa nae kuna vitu hutakiwi kufanya kabisa maana ukimdhalilisha yeye unawadhalilisha watoto pia na mbaya zaidi hawa watoto wataathirika katika maisha yao yote.

Watoto mkuu watoto....

tambua kuwa nami ni baba watot wke kuna vitu vya kishenz km ivo hapaswi kunifanyia kabisa mbaya zaidi anagegedwa mbele ya watot wng (chumban kwangu) huruma haimfai kabisa..
 
tambua kuwa nami ni baba watot wke kuna vitu vya kishenz km ivo hapaswi kunifanyia kabisa mbaya zaidi anagegedwa mbele ya watot wng (chumban kwangu) huruma haimfai kabisa..
Haya mkuu endeleeni kudhalilishana.
 
Jamani wengine wanatabia za nzi kuskia harufu ya choo tayar washajazana sio wote umalaya n.hulka ya mtu husika na kuamua tu kua malaya
 
Back
Top Bottom