clifford20
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 205
- 310
HahahahChizi sn yule mwanamke![]()
HahahahChizi sn yule mwanamke![]()
Huyu ni mamaj dada angu
Wanawake wembamba tupo vizuri mdomoni.Ni mwembamba ndio,kwann umesema hivo?
Naam dada angu![]()
Ndio kifuatachoUsisahau kuleta mrejesho humu kuwa umeshindwa kuishi bila yeye
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app


Hata msg umeacha kujibuu mbona uchi ulikuwa unaufataa hata saa nane za usikuuu...!! Haya mabandiko yako unalia kila siku kuhusu mchepuko yananifanya niamini akili yako kwenye mapenzi ni very Immature yani haijakomaa kabisaa. MFUKUZE MKEO UMUOEE MCHEPUKO
Hapana manzi hana shida ila kapata mwanaume anaeendeshwa na uchi.Kivumbi leo.Ila huyo manzi mbinafsi sana.
Ha ha ha ...sidhan mkuu,Usisahau kuleta mrejesho humu kuwa umeshindwa kuishi bila yeye
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app

Hauko serious riky,Mchepukoo kashikaa Mimba haya libebe sasa kijanaa..Hata msg umeacha kujibuu mbona uchi ulikuwa unaufataa hata saa nane za usikuuu...!! Haya mabandiko yako unalia kila siku kuhusu mchepuko yananifanya niamini akili yako kwenye mapenzi ni very Immature yani haijakomaa kabisaa. MFUKUZE MKEO UMUOEE MCHEPUKO
![]()

Ni mwembamba ndio,kwann umesema hivo?
Wanawake wembamba na kiburi ni kama samaki na maji