Kuna wana maombi humu?



Chonde mshikaji usije kuacha haibu ya kina Ufoo. Jifunze na matukio na kuombewa, utaombewa na wale wanaokujali humu JF, hivyo usiwe na hofu.
 
We ulidhani wanaokuwa na nyumba ndogo wanapenda? Pressure absorbers... Ila sijakushauri...



Tena nilisahau tu, nakushauri utafute nyumba ndogo ua kukuliwaza. usikute wife anakuigia kelele because anaona upo nyumbani all the time baada ya kazi wakati wanaume wenzako wote wanakwenda nyumba ndogo ama baa hivyo anataka ujitafutie nyumba ndogo ili naye apate kaserengeti boy ajiliwaze naye. Tafuta nyumba ndogo uone atafanya nini.
 
Mh. Haya. Hayo maombu ya mmu yatavuka paa? Lambda ya ma dei waka wazee was report abuse jukwaa LA siasa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…