We nuna tu watu tuelekee bar tukirudi tunalala tu, hasira zikiisha tutaongea
Ukinuna naenda kwa nyumba ndogo siku kisirani kikiisha narudi...ndio dawa hiyo........
Kwa nini isiwe wanawake ndio wanaoishi kwa mazoea??? kila siku kununa nuna?? mbona sie hatununi nuni??nilichogundua wanaume wengi mnaishi na wake zenu kwa mazoea kitu ambacho sio kizuri....vitu vidogo vidogo kama kujali vinaweza vikawa chachu ya kumuona mwenza wako mpya kila siku...
Hapo ndio tunasema wanawake munguwenu alikufa kwanini unune badala ya kuniambia? Ukinuna itakusaidia nn mwishowe unajizeesha tu.
Kwa nini isiwe wanawake ndio wanaoishi kwa mazoea??? kila siku kununa nuna?? mbona sie hatununi nuni??
kwenye mapenzi hakuna utoto, mbona cha nyuma wakati unamfatilia awe mwanamke wako ulikuwa unajishusha, usilete ubaunsa kwenye mahaba....