Kuna wakati nilikata tamaa na CCM

Kuna wakati nilikata tamaa na CCM

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,946
Reaction score
38,657
Katika utawala wa Awamu ya NNe hakika nilikata tamaa na hiki chama kwa sababu pamoja na juhudi za rais kuweka juhudi kutupaisha kiuchumi lakini waliomzunguka kuanzia Waziri Mkuu (Ngoyai) na akina mzee Makamba walikuwa wapiga dili wakubwa...

Chama kilijaa rushwa hasa kwa waliokuwa wanasaka nagfasi za uteuzi na hatimaye tukapata viongozi wengi corrupt. Serikali ilichafukwa haswaa na watumishi wa umma wakawa na utajiri wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara wanaolipa kodi.

Lakini tangu Magufuli achukue fomu ya urais, moyo wangu ulipunguza stress zote na sasa nashuhudia mabadiliko makubwa ya ukuaji wa uchumi ambapo unakua kwa kasi kubwa. Magufuli ameishi kwenye Legacy aliyoijenga kwa muda mfupi sana kwenye uongozi wake.

Rais tuliye naye ni kiongozi haswaa na siyo mtawala kama wengi wanavyomuita. Anaona mbali na kuongoza njia ya kufika huko. Habebwi bebwi na watu bali kazi yake inambeba.

Viva JPM Viva

ukiwa na nyongo ruksa kuishusha hapa

Uzi meazni
 
Msiiiiiiiieeeewww


We jamaa kweli kiazi mbatata mwenyew anajiita mtawala, wewe kisebengo unakuja hapa unasema sio mtawala kama wanavyomuita, nani kamuita mtawala kama si yeye mwenyewe kujiita mtawala " siwezi kutawala wananchi wenye machozi " ..... Hivi upo humu kuandika andika mashudu hata huyo unaemshadadia huwa hupati Muda wa kusikiliza hotuba zake???
 
Angalau nawe upate kupooza koromeo maana umepiga zumari ipasavyo.
 
Katika utawala wa Awamu ya NNe hakika nilikata tamaa na hiki chama kwa sababu pamoja na juhudi za rais kuweka juhudi kutupaisha kiuchumi lakini waliomzunguka kuanzia Waziri Mkuu (Ngoyai) na akina mzee Makamba walikuwa wapiga dili wakubwa...

Chama kilijaa rushwa hasa kwa waliokuwa wanasaka nagfasi za uteuzi na hatimaye tukapata viongozi wengi corrupt. Serikali ilichafukwa haswaa na watumishi wa umma wakawa na utajiri wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara wanaolipa kodi.

Lakini tangu Magufuli achukue fomu ya urais, moyo wangu ulipunguza stress zote na sasa nashuhudia mabadiliko makubwa ya ukuaji wa uchumi ambapo unakua kwa kasi kubwa. Magufuli ameishi kwenye Legacy aliyoijenga kwa muda mfupi sana kwenye uongozi wake.

Rais tuliye naye ni kiongozi haswaa na siyo mtawala kama wengi wanavyomuita. Anaona mbali na kuongoza njia ya kufika huko. Habebwi bebwi na watu bali kazi yake inambeba.

Viva JPM Viva

ukiwa na nyongo ruksa kuishusha hapa

Uzi meazni

Kwa hiyo
 
Msiiiiiiiieeeewww


We jamaa kweli kiazi mbatata mwenyew anajiita mtawala, wewe kisebengo unakuja hapa unasema sio mtawala kama wanavyomuita, nani kamuita mtawala kama si yeye mwenyewe kujiita mtawala " siwezi kutawala wananchi wenye machozi " ..... Hivi upo humu kuandika andika mashudu hata huyo unaemshadadia huwa hupati Muda wa kusikiliza hotuba zake???
Pole kwa kuguswa
pole sana mkuu
 
ntabaki kumuaminia na kumkubali Magu mpaka naingia kaburini

Saiv hata tunavoingia bar zile seat za wazee wa bandarini hamna tena
 
Back
Top Bottom