Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,657
Katika utawala wa Awamu ya NNe hakika nilikata tamaa na hiki chama kwa sababu pamoja na juhudi za rais kuweka juhudi kutupaisha kiuchumi lakini waliomzunguka kuanzia Waziri Mkuu (Ngoyai) na akina mzee Makamba walikuwa wapiga dili wakubwa...
Chama kilijaa rushwa hasa kwa waliokuwa wanasaka nagfasi za uteuzi na hatimaye tukapata viongozi wengi corrupt. Serikali ilichafukwa haswaa na watumishi wa umma wakawa na utajiri wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara wanaolipa kodi.
Lakini tangu Magufuli achukue fomu ya urais, moyo wangu ulipunguza stress zote na sasa nashuhudia mabadiliko makubwa ya ukuaji wa uchumi ambapo unakua kwa kasi kubwa. Magufuli ameishi kwenye Legacy aliyoijenga kwa muda mfupi sana kwenye uongozi wake.
Rais tuliye naye ni kiongozi haswaa na siyo mtawala kama wengi wanavyomuita. Anaona mbali na kuongoza njia ya kufika huko. Habebwi bebwi na watu bali kazi yake inambeba.
Viva JPM Viva
ukiwa na nyongo ruksa kuishusha hapa
Uzi meazni
Chama kilijaa rushwa hasa kwa waliokuwa wanasaka nagfasi za uteuzi na hatimaye tukapata viongozi wengi corrupt. Serikali ilichafukwa haswaa na watumishi wa umma wakawa na utajiri wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara wanaolipa kodi.
Lakini tangu Magufuli achukue fomu ya urais, moyo wangu ulipunguza stress zote na sasa nashuhudia mabadiliko makubwa ya ukuaji wa uchumi ambapo unakua kwa kasi kubwa. Magufuli ameishi kwenye Legacy aliyoijenga kwa muda mfupi sana kwenye uongozi wake.
Rais tuliye naye ni kiongozi haswaa na siyo mtawala kama wengi wanavyomuita. Anaona mbali na kuongoza njia ya kufika huko. Habebwi bebwi na watu bali kazi yake inambeba.
Viva JPM Viva
ukiwa na nyongo ruksa kuishusha hapa
Uzi meazni
