Kuna wakati nilikata tamaa na CCM

Kuna wakati nilikata tamaa na CCM

Me? Hahahahah it seems like you got a hole in your head.
Be straight instead of throwing shade at him, because we all know he's the one...(heist)
No thanks
 
Katika utawala wa Awamu ya NNe hakika nilikata tamaa na hiki chama kwa sababu pamoja na juhudi za rais kuweka juhudi kutupaisha kiuchumi lakini waliomzunguka kuanzia Waziri Mkuu (Ngoyai) na akina mzee Makamba walikuwa wapiga dili wakubwa...

Chama kilijaa rushwa hasa kwa waliokuwa wanasaka nagfasi za uteuzi na hatimaye tukapata viongozi wengi corrupt. Serikali ilichafukwa haswaa na watumishi wa umma wakawa na utajiri wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara wanaolipa kodi.

Lakini tangu Magufuli achukue fomu ya urais, moyo wangu ulipunguza stress zote na sasa nashuhudia mabadiliko makubwa ya ukuaji wa uchumi ambapo unakua kwa kasi kubwa. Magufuli ameishi kwenye Legacy aliyoijenga kwa muda mfupi sana kwenye uongozi wake.

Rais tuliye naye ni kiongozi haswaa na siyo mtawala kama wengi wanavyomuita. Anaona mbali na kuongoza njia ya kufika huko. Habebwi bebwi na watu bali kazi yake inambeba.

Viva JPM Viva

ukiwa na nyongo ruksa kuishusha hapa

Uzi meazni
Sio mtawala?
Huyo kiongozi wako ni dictator.
 
Mmmh sasa mbona teuzi zimejaa, subiri nafasi za kusimamia uchaguzi
 
Tuache unafiki hili ndio jembe tulikuwa tunataka.
Naungana na mtoa mada ccm awamu za nyuma tuliichukia sana sababu ya upigaji na ndio maana wapinzani walipata majimbo ya ubunge sababu ya hasira zetu.
Liacheni jembe lilime.
Povu zenu ruksa maana mtazitema na kula wenyewe.
 
Katika utawala wa Awamu ya NNe hakika nilikata tamaa na hiki chama kwa sababu pamoja na juhudi za rais kuweka juhudi kutupaisha kiuchumi lakini waliomzunguka kuanzia Waziri Mkuu (Ngoyai) na akina mzee Makamba walikuwa wapiga dili wakubwa...

Chama kilijaa rushwa hasa kwa waliokuwa wanasaka nagfasi za uteuzi na hatimaye tukapata viongozi wengi corrupt. Serikali ilichafukwa haswaa na watumishi wa umma wakawa na utajiri wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara wanaolipa kodi.

Lakini tangu Magufuli achukue fomu ya urais, moyo wangu ulipunguza stress zote na sasa nashuhudia mabadiliko makubwa ya ukuaji wa uchumi ambapo unakua kwa kasi kubwa. Magufuli ameishi kwenye Legacy aliyoijenga kwa muda mfupi sana kwenye uongozi wake.

Rais tuliye naye ni kiongozi haswaa na siyo mtawala kama wengi wanavyomuita. Anaona mbali na kuongoza njia ya kufika huko. Habebwi bebwi na watu bali kazi yake inambeba.

Viva JPM Viva

ukiwa na nyongo ruksa kuishusha hapa

Uzi meazni
Umesema ukweli ila kuna watu wakija humu watafanya uzi uondolewe
 
Back
Top Bottom