OkNo thanks
Sio mtawala?Katika utawala wa Awamu ya NNe hakika nilikata tamaa na hiki chama kwa sababu pamoja na juhudi za rais kuweka juhudi kutupaisha kiuchumi lakini waliomzunguka kuanzia Waziri Mkuu (Ngoyai) na akina mzee Makamba walikuwa wapiga dili wakubwa...
Chama kilijaa rushwa hasa kwa waliokuwa wanasaka nagfasi za uteuzi na hatimaye tukapata viongozi wengi corrupt. Serikali ilichafukwa haswaa na watumishi wa umma wakawa na utajiri wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara wanaolipa kodi.
Lakini tangu Magufuli achukue fomu ya urais, moyo wangu ulipunguza stress zote na sasa nashuhudia mabadiliko makubwa ya ukuaji wa uchumi ambapo unakua kwa kasi kubwa. Magufuli ameishi kwenye Legacy aliyoijenga kwa muda mfupi sana kwenye uongozi wake.
Rais tuliye naye ni kiongozi haswaa na siyo mtawala kama wengi wanavyomuita. Anaona mbali na kuongoza njia ya kufika huko. Habebwi bebwi na watu bali kazi yake inambeba.
Viva JPM Viva
ukiwa na nyongo ruksa kuishusha hapa
Uzi meazni
Asije akakosa uteuzi.Umesahau Namba yako ya simu mpendwa!
Amesifia kidogo sana.Subiri uteuzi ujao tutakupa hata wilaya ya Mbulu.
Hiyo ya dereva shuka fasta zimebaki za nyuma.Ngoja niwahi siti ya mbele
Amesifia kidogo sana.
Anatakiwa asifie hadi awe kama mwehu.
Anatakiwa asifie afanye vituko vya ajabu hadi watoto wadogo wamshangae.Hahahahhahaaa nimecheka ghafla![]()
ntabaki kumuaminia na kumkubali Magu mpaka naingia kaburini
Saiv hata tunavoingia bar zile seat za wazee wa bandarini hamna tena

Anatakiwa asifie afanye vituko vya ajabu hadi watoto wadogo wamshangae.
Ajidhalilishe kila kona, hapo ndo atapata nafasi.
Umesema ukweli ila kuna watu wakija humu watafanya uzi uondoleweKatika utawala wa Awamu ya NNe hakika nilikata tamaa na hiki chama kwa sababu pamoja na juhudi za rais kuweka juhudi kutupaisha kiuchumi lakini waliomzunguka kuanzia Waziri Mkuu (Ngoyai) na akina mzee Makamba walikuwa wapiga dili wakubwa...
Chama kilijaa rushwa hasa kwa waliokuwa wanasaka nagfasi za uteuzi na hatimaye tukapata viongozi wengi corrupt. Serikali ilichafukwa haswaa na watumishi wa umma wakawa na utajiri wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara wanaolipa kodi.
Lakini tangu Magufuli achukue fomu ya urais, moyo wangu ulipunguza stress zote na sasa nashuhudia mabadiliko makubwa ya ukuaji wa uchumi ambapo unakua kwa kasi kubwa. Magufuli ameishi kwenye Legacy aliyoijenga kwa muda mfupi sana kwenye uongozi wake.
Rais tuliye naye ni kiongozi haswaa na siyo mtawala kama wengi wanavyomuita. Anaona mbali na kuongoza njia ya kufika huko. Habebwi bebwi na watu bali kazi yake inambeba.
Viva JPM Viva
ukiwa na nyongo ruksa kuishusha hapa
Uzi meazni
Umesahau Namba yako ya simu mpendwa!
Subiri uteuzi ujao tutakupa hata wilaya ya Mbulu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Email ipo ila namba ya simu ya nini mkuu?