Kuna wakati hii dhana kwamba Tanzania (Tanganyika) ilipata Uhuru kwa njia ya "Mazungumzo" huwa siielewi!

Kwamba kuna wazee fulani wa TANU akiwemo hayati Kawawa walimchangia nauli Mwalimu Nyerere kwenda Umoja wa Mataifa kule Marekani kudai uhuru wa Tanganyika.

Kwamba Uhuru tuliupata kwa njia ya mazungumzo.

Mkuu kuna kipande watu wengi huwa wanakisahau, kabla ya kuchangiana nauli hapo ni kwamba kama kawaida yetu Waafrika tuliroga kwa zindiko la kafara...

Rejelea mazungumzo ya wapigania uhuru wale waliomsaidia mwalimu, nadhani hata mwalimu mwenyewe ashawahi elezea hilo zindiko...

Hivyo si ajabu pia tulipata uhuru kwa njia ya mazingaombwe...
 
Mkuu kuna kipande watu wengi huwa wanakisahau, kabla ya kuchangiana nauli hapo ni kwamba kama kawaida yetu Waafrika tuliroga kwa zindiko la kafara...

Rejelea mazungumzo ya wapigania uhuru wale waliomsaidia mwalimu, nadhani hata mwalimu mwenyewe ashawahi elezea hilo zindiko...

Hivyo si ajabu pia tulipata uhuru kwa njia ya mazingaombwe...
Labda ndio maana akina Mwamba bado wanapigania Uhuru hadi leo.
 
Ipo hv nyrrere slipianzs kuweka mdomo mbele sliitwa chumban uko alipigwa bit na akaambiwa atapewa ila akubali kila atachoambiwa alipewa masharti yote kisha ndo akatoks kuja kujidai na makaratas eti COMPLETE INDEPENDRNCE
 
Ipo hv nyrrere slipianzs kuweka mdomo mbele sliitwa chumban uko alipigwa bit na akaambiwa atapewa ila akubali kila atachoambiwa alipewa masharti yote kisha ndo akatoks kuja kujidai na makaratas eti COMPLETE INDEPENDRNCE
Hapana UNO isingeweza kufanya hivyo, haikuwa na maslahi yoyote Tanganyika.
 
Ipo hv nyrrere slipianzs kuweka mdomo mbele sliitwa chumban uko alipigwa bit na akaambiwa atapewa ila akubali kila atachoambiwa alipewa masharti yote kisha ndo akatoks kuja kujidai na makaratas eti COMPLETE INDEPENDRNCE
Mkuu umeandika lugha ngumu sana
 
UNO na Uingereza Tanganyika waliona kama ni mzigo usiokuwa na faida, UNO ndiye aliyekuwa mwenye nchi, Uingereza iliteuliwa kuwa mwangalizi tu akisubiri amri toka UNO kama aendelee kuwepo au aondoke ndiyo sababu amri ya kujitawala ilitoka UNO na si Uingereza kama ilivyokuwa kwa nchi nyingine, mengine yote tunayoyasikia ni mapambio tu.
 
Kwamba kuna wazee fulani wa TANU akiwemo hayati Kawawa walimchangia nauli Mwalimu Nyerere kwenda Umoja wa Mataifa kule Marekani kudai uhuru wa Tanganyika.

Kwamba Uhuru tuliupata kwa njia ya mazungumzo.

Na sasa sisi ni taifa huru.

Mungu ni mwema wakati wote!
Sawa maneno yako.
Wazee hawo walipambana sana kudai uhuru wa Tanganyika.
Kwa hila za wakoloni wakaambiwa nyie wazee hamkusoma na itakuwa vigumu kwenda huko kunako husika kuzungumza na wakubwa .Tupeni mtu atakaye faa. Ndipo watu wakamchagua Nyerere kwenda huko.

Kilichotokea baadae wale wazee walopigania uhuru wamedharauliwa kabisa walahawatajwi , anayetajwa ni Nyerere tuu ambaye sie muanzilishi wamapambano.

Sasa hiyo ni dhulma ambayo itatuganda na kutuumiza sana. kwani dhulma bado ipo mpaka sasa.

Dhulma ni mbaya sana. Panapo dhulma hakuna maendeleo.
 
Back
Top Bottom