Kuna wakati forum hupinduka na kucheua

Kuna wakati forum hupinduka na kucheua

Always try to be neutral you will be safe!
Great weekend kusoma JF after looong time
 
Ha ha ha ha ha
Usiombe uzi uliouanzisha enzi za mkwere unakula good time halafu sasa hivi enzi za jiwe unaishi kama shetani.
Marafiki wamekukimbia, huna kazi, una madeni kama yote kila kona, faraja huna yaani ni kishetani shetani tu, nguo za mwanzo zote zinakupwaya umebaki kuzifunga na kamba ya mgomba.
 
Usiombe uzi uliouanzisha enzi za mkwere unakula good time halafu sasa hivi enzi za jiwe unaishi kama shetani.
Marafiki wamekukimbia, huna kazi, una madeni kama yote kila kona, faraja huna yaani ni kishetani shetani tu, nguo za mwanzo zote zinakupwaya umebaki kuzifunga na kamba ya mgomba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mimi baada ya kusoma mazungumzo yangu ya zamani ambapo nilijieleza sana
20221224_213416.jpg
 
Back
Top Bottom