Kuna Wachina weusi sana, ama walitokea Afrika?

Kuna Wachina weusi sana, ama walitokea Afrika?

Siamini Kichina walikuwa awali nyeusi. Nadhani historia ya Afrika ni nzuri sana kama ilivyo.
 
Bro usiforce tufanane nao fanya yako kama huna la kufanya zima data.
Ndg usiwe mvivu wa kujifunza,hapa tunajifunza tu,
kuna makala niliwahi kuisoma inasema kuwa wachina walitokea Africa.
Kwa kawaida ukisikia kitu kama hicho unatakiwa ufanye utafiti mdogo tu ili kuikubali habari hiyo ama kuikataa.
sasa wewe unakataa wakati hujafanya utafiti napicha za wachina weusi nimekuwekea,je uliwahi kujua kama kuna wachina weusi? acha uvivu.
 
Umasikini haujawahi kumuacha Muafrika salama.
Hata Wachina weusi hapo picha zao wote ni masikini.
 
Tulikuwa Dunia nzima But i think kuna sehemu Mungu tumemuudhi, tena sana.
 
Mchina rangi yake ni mwekundu wenye manjano njano au manjano wenye uwekundu. Wachina wa sasa rangi yao inang'aa vile kwa sababu ya vipodozi.

Ila Mchina akifubaa rangi yake inakuwa wekundu wenye uweusi. Ni sawa sawa na Mwarabu. Mwarabu akifulia rangi yake inakuwa nyeusi, haswaaa! Hawa waarabu wa mashariki ya kati.
 
Back
Top Bottom