Yaani, ninapochambua wadudu kwenye karanga watakuwepo, wako wengi kama hawa.
View attachment 141213View attachment 141214
mi ni mbishi wa asili.
akili yangu imenituma kusema kuwa mtu huyu ana umbo lenye ukubwa kama wetu ila karanga hizi ndo kubwa kupita kiasi.hivyo mkuu utafiti itabidi title ibadilike na izungumzie ukubwa wa karanga na sio mtu.
sababu ya kutoa jibu hilo ni kutokana na ukweli kuwa mtu wa ukubwa huo ni kama sisimizi hivyo kubeba mzigo wote huo kwa kula tu haiwezekani maana hawezi kuzimaliza vile vile ubebaji hauwezi maana karanga ni kubwa mno.vile vile zana iliyoshikwa iwapo ni chuma basi karanga ya ndani pia ingedhurika.iwapo sio chuma...labda
mi ni mbishi wa asili.
akili yangu imenituma kusema kuwa mtu huyu ana umbo lenye ukubwa kama wetu ila karanga hizi ndo kubwa kupita kiasi.hivyo mkuu utafiti itabidi title ibadilike na izungumzie ukubwa wa karanga na sio mtu.
sababu ya kutoa jibu hilo ni kutokana na ukweli kuwa mtu wa ukubwa huo ni kama sisimizi hivyo kubeba mzigo wote huo kwa kula tu haiwezekani maana hawezi kuzimaliza vile vile ubebaji hauwezi maana karanga ni kubwa mno.vile vile zana iliyoshikwa iwapo ni chuma basi karanga ya ndani pia ingedhurika.iwapo sio chuma...labda
Na hayo mavazi waliovaa kama ni viumbe wameshonewa na nani au kiwanda gani?
Mkuu ulishawahi kuona karanga kubwa kuliko binadamu?yap hiyo ni miongoni mwa hoja kwa ninayeamini karanga ndio kubwa zaidi na mtu ni wakawaida.....japo najua picha ni yakutengeneza
Teh teh teh!wanaishi sayari gani?Wanakila kitu cha kwao mkuu, wana akili kama sisi tu, wana maisha yao pia
Hakuna kitu,huu ni urongo!Duh....jamaa amekuwa minimized. ...??????
Kweli twafanana...nangojea ageuke.....
Mkuu umeuliza swali gumu sana,hakuna atakayeweza kukupa jibu sahihi!Na hayo mavazi waliovaa kama ni viumbe wameshonewa na nani au kiwanda gani?