Preta huko si Manyara na Mbulu?? PoaMshana Jr......njoo nitembelee Yaeda nikufanyie tour kidogo.......nikupeleke Mamarehe.......Sidai......Longido hadi Naibormut.........ndani ndani huko......ili uje uongezee nyama hii thread yako........
Hiyo ni nchi ya Afrika. Kuchimba kisima kimoja ni sh 15milioni.Waziri wa maji ataenda kutembelea
Hiyo ni nchi ya Afrika. Kuchimba kisima kimoja ni sh 15milioni.Waziri wa maji ataenda kutembelea
kijiji cha huyo kijana akiwa kwenye v8 ya sh 280milioni na wanakijiji wakiomba wachimbiwe kisima waziri anasema serikali kwa sasa haina hela.(sitaki kuendelea, inatia uchungu sana)