Vita ya ushoga ngumu sanaRejea headline hapo juu,
Kulingana na mechi iliyochezwa leo pale uhuru Simba vs Kagera Sugar kuna namna imefanyika hata ukiangalia wachezaji wa Kagera wanavocheza kama vile wamepewa vyanzo vya kuzidi ili wacheze tu ilimradi kuwa vutia mashabiki wa Simba kwenye mech ijayo dhid ya Wydad wawepo kwa wingi ya magoli mepesi sana hasa yale mawili ya mwisho.
Mabeki hata hawaruki kabisa, hata lile la Bocco ni goli la mchongo kabisa, hakuna wachezaji pale simba wanacheza kimiemko sana.
Lini Kagera walikuwa na plans wakicheza na timu kubwa?! Kabla ya mechi timu yenyewe ipo chini chini kwenye msimamo, iweje ajabu ikifungwa na Simba?kabisa, kagera sugar had no plans kushinda hata, ni kweli walilipwa
Ina maana mtoa mada ni shoga?๐๐Vita ya ushoga ngumu sana
Ina maana mtoa mada ni shoga?
leo it was obviously, kama wamepewa pesa wafanye mazoezi na simbaLini Kagera walikuwa na plans wakicheza na timu kubwa?! Kabla ya mechi timu yenyewe ipo chini chini kwenye msimamo, iweje ajabu ikifungwa na Simba
Iyo mbona Iko wazi tu, Kagera katumika kutoa motisha kwa mashabiki waende uwanjani JUMANNE, zile goli 2 za Simba na aina ya mchezo walioucheza Kagera ni aibu kwa timu inayojinasibu eti inataka kufuzu robo fainali ya caf champions league, pamoja na Kagera kucheza chini ya kiwango kwa maelekezo ya bahasha bado makolo wana kazi kubwa sana ya kufanya uwanjani, wasipobadilika haraka Kuna kichapo kingine kinakuja mbele ya Azam!Rejea headline hapo juu,
Kulingana na mechi iliyochezwa leo pale uhuru Simba vs Kagera Sugar kuna namna imefanyika hata ukiangalia wachezaji wa Kagera wanavocheza kama vile wamepewa vyanzo vya kuzidi ili wacheze tu ilimradi kuwa vutia mashabiki wa Simba kwenye mech ijayo dhid ya Wydad wawepo kwa wingi ya magoli mepesi sana hasa yale mawili ya mwisho.
Mabeki hata hawaruki kabisa, hata lile la Bocco ni goli la mchongo kabisa, hakuna wachezaji pale simba wanacheza kimiemko sana.