SteveJr99
Senior Member
- May 13, 2019
- 141
- 302
Habarini wadau wa JF.
Miaka ya Hivi karibuni kumekuwa na Motivation speakers wengi wakiwa na Bidii ya kuwaaminisha watu Fanya hiki au kile ili uwe UTAJIRI.
Swali langu ni hili ni kweli kwamba Kuna UTAJIRI wa njia Halali YAANI yule mtu ambaye anajuhudi tu katika kazi/biashara yake/zake akawa tajiri like MILLIONAIRE PASIPO
β Kwenda kwa Mganga
β Kutoa Kafara
β Kubeti
β Kudhulumu mfano Kutolipa Kodi au Madili ya magendo
β Kuiba
β Kutenda dhambi mfano Ukahaba/Mishangazi
Na zingine zifananazo na Hizo π???
Katika kujibu zingatia Tofauti kati ya UTAJIRI na KUFANIKIWA!!
Anyone can be Succeed but Not Everyone can be RICH.
Miaka ya Hivi karibuni kumekuwa na Motivation speakers wengi wakiwa na Bidii ya kuwaaminisha watu Fanya hiki au kile ili uwe UTAJIRI.
Swali langu ni hili ni kweli kwamba Kuna UTAJIRI wa njia Halali YAANI yule mtu ambaye anajuhudi tu katika kazi/biashara yake/zake akawa tajiri like MILLIONAIRE PASIPO
β Kwenda kwa Mganga
β Kutoa Kafara
β Kubeti
β Kudhulumu mfano Kutolipa Kodi au Madili ya magendo
β Kuiba
β Kutenda dhambi mfano Ukahaba/Mishangazi
Na zingine zifananazo na Hizo π???
Katika kujibu zingatia Tofauti kati ya UTAJIRI na KUFANIKIWA!!
Anyone can be Succeed but Not Everyone can be RICH.