Kuna ushindi katika kukaa kimya (kunyamaza)

Kuna ushindi katika kukaa kimya (kunyamaza)

kuna mtu nampenda humu, nitamuanzishia uzi siwez kukaa kimya wakat moyo unauma
 
Hivi mtu gani alikuwa na wake 700 na masuria/michepuko 300 leo anaonekana alikuwa na hekima na busara sana?
 
akikubali nitaleta mrejesho humu, akikataa mkisikia kuna njemba kutoka maeneo ya mosh imeamua kuacha ugali na kufuata moto mjue n mwana jf mwenzenu mshiriki ramb ramb na wakisema n wivu wa mapenz kataeni, semen kuna mtu kamkataa, bahat nzuri ananisoma hapa
We ndio mwanaume mwambie tu kwa nini uteseke fanya vile moyo wako unapenda
 
Ebu ngoja kwanza kuacha ugali na kufata moto ndio ninii yaan ukufwe kwa ajili ya I'd fake na avatar kuwa serious mkuu mtu humjui
akikubali nitaleta mrejesho humu, akikataa mkisikia kuna njemba kutoka maeneo ya mosh imeamua kuacha ugali na kufuata moto mjue n mwana jf mwenzenu mshiriki ramb ramb na wakisema n wivu wa mapenz kataeni, semen kuna mtu kamkataa, bahat nzuri ananisoma hapa
 
Unafikiri Musa angenyamaza kimya wangefikaje kaanani kwenye nchi ya ahadi yenye asali na maziwa, wana Israel si wangebaki watumwa Misri hadi leo, sema panapotakiwa kunyamaza unyamaze, ila panapotakiwa kusema sema kwa sauti Kuu, nchi hii imefika hapa (pabaya) kwa sababu ya watu wachache kuamua kunyamaza kwenye mambo ya msingi
 
hahaaa bora wewe umesema, hafi mtu hapa, mana wabongo kwa kupenda arobain za wenzao hawajambo, wanaendaga na mikeka kbsa na vijiko kwenye mifuko ya makoti
Ebu ngoja kwanza kuacha ugali na kufata moto ndio ninii yaan ukufwe kwa ajili ya I'd fake na avatar kuwa serious mkuu mtu humjui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom