Tunaishi ulimwengu huu. Baada ya hapa ipo Astral World. Halafu ipo Brahma World. Hapa ndipo wanapokwenda watu baada ya kufa hapa duniani. Baada ya hapo ipo Patra World, ambapo ndio wapo watu waliopiga hatua zaidi, kama vile Aristotle, Socrates, Leonardo da Vinci, Winston Churchill, na wengineo. Halafu bado, inaendelea. Zipo dimensions nyingine.