Kuna ulazima Gani???


Ahaa mambo ya ISIDINGO hayo, jamani mumeo tena anakuwa kama simba wa kuogopewa. Hata utani hakuna jamani kwa swala kama hilo. Khaa siyawezi kwa hapo.
 



Tehe tehe tehe hivi wanabugiaga kisha wanameza teeeehhhhhh, kukata kiuno? hahaha kweli " raha ya goli ni lazima upige chenga".
 
mpaka mtu anaolewa hajajua kumheshimu mwenzake wala hajaacha tabia ya ..... unadhani hiyo training inatosha?

yaani mie wala siifaham hii trend... ilianzaje? na lini?
 
mpaka mtu anaolewa hajajua kumheshimu mwenzake wala hajaacha tabia ya ..... unadhani hiyo training inatosha?

yaani mie wala siifaham hii trend... ilianzaje? na lini?


Yan we ukija kufanyiwa kicheni pati nitashangaa sana. Hakuna jipya ambalo hujui. wink
 
kaka unanionea mie sijui lolote hasa hizi kazi...



Itabidi nikatae kuolewa
 
kwahiyo heshima inafundishwa KP sio nyumbani ehh!!!

hahaaaa mi sijui bana..............nilikuwa natifua tu hapa maana mtu mwenyewe 'kaka jamabzi' sijui haya ya KP's yalimfikaje.

binafsi si-intertain huu 'upuuzi'.......sorry to say so ni mtazamo wangu binafsi!!
 
hahha bht sikatai kuolewa kwa ajili ya KP ila hizo kazi za wamama hapo kwenye picha ndio zitanifanya nigome kuolewa.....
 
hahha bht sikatai kuolewa kwa ajili ya KP ila hizo kazi za wamama hapo kwenye picha ndio zitanifanya nigome kuolewa.....

kukuna nazi wewe unaogopa??? hahahaa lol we binti wewe!!!! shauri yako labda usiolewe na wanaume wa kiswahili......
mchuzi wa nazi sijui chapati za kusukuka lol!!!! simo mie
 
hahaaaa mi sijui bana..............nilikuwa natifua tu hapa maana mtu mwenyewe 'kaka jamabzi' sijui haya ya KP's yalimfikaje.

binafsi si-intertain huu 'upuuzi'.......sorry to say so ni mtazamo wangu binafsi!!
hahaa vipi tena mie nilikutegemea wewe na Nyamayao kwenye KP yangu tena...
 
kukuna nazi wewe unaogopa??? hahahaa lol we binti wewe!!!! shauri yako labda usiolewe na wanaume wa kiswahili......
mchuzi wa nazi sijui chapati za kusukuka lol!!!! simo mie
oow my oow my ...bado mchuzi wa nazi na chapati za kusuka hee? haya waswahili wasije wakanioa mie shauri yao...
 
hahaa vipi tena mie nilikutegemea wewe na Nyamayao kwenye KP yangu tena...

aaah mi ukitaka uniite chobingo sio mambo ya kukusanyana sijui mnaanza kuambizana oooh hivi vile staki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…