Jamani kwani akiwa kahaba aliyekubuhu ndio ana-make good wife?? Lazima kuna vinavyofundishwa ambavyo havihusiani na meza kuu!!
Nakumbuka kuna moja niliisikia mtu anafundwa kuwa mume ni mfalme tena wa kumheshimu na hata ukisikia ameachia hewa usicheke wala kuguna we jifanye kama hujasikia kisha taratiiiiibu toka nje ukaliteme "Pwaahaaaa" ukilisindikiza na tusi lolote unalojiskia kulitoa ila usiliseme kwa sauti.... kisha rudi taratibu na tabasamu paaana usoni likisindikizwa na darling, laaziz, sweetie, nyonda and you name it
Unakuta binti alikua kicheche, shangingi aliyekubuhu kuwachuna na kuwapagawisha mabuzi.
Buzi akipagawa na kuamua kutangaza ndoa, huwae kutelekeza familia?Code:nashangaa wamama eti wanamuandalia kicheni pati, ya jinsi gani ya [B]kukata kiuno[/B], jinsi ya [B]kubugia ile kitu [/B]nk. Sa kama angekuwa hayawezi hayo mambo, buzi lingewezaje kutangaza ndoa au pengin
Bora basi mafunzo ya kicheni pati yangekua yanahusu jinsi gani ya kumheshimu mume, kutunza familia, kuachana na tabia ya ukahaba etc. Wao wamebezi kwenye maeneo ya kati tu.
kwahiyo heshima inafundishwa KP sio nyumbani ehh!!!kwani kwenye KP's hawafundishwi kumheshimu mume??
mpaka mtu anaolewa hajajua kumheshimu mwenzake wala hajaacha tabia ya ..... unadhani hiyo training inatosha?Unakuta binti alikua kicheche, shangingi aliyekubuhu kuwachuna na kuwapagawisha mabuzi.
Buzi akipagawa na kuamua kutangaza ndoa, huwa nashangaa wamama eti wanamuandalia kicheni pati, ya jinsi gani ya kukata kiuno, jinsi ya kubugia ile kitu nk. Sa kama angekuwa hayawezi hayo mambo, buzi lingewezaje kutangaza ndoa au pengine kutelekeza familia?
Bora basi mafunzo ya kicheni pati yangekua yanahusu jinsi gani ya kumheshimu mume, kutunza familia, kuachana na tabia ya ukahaba etc. Wao wamebezi kwenye maeneo ya kati tu.
mpaka mtu anaolewa hajajua kumheshimu mwenzake wala hajaacha tabia ya ..... unadhani hiyo training inatosha?
yaani mie wala siifaham hii trend... ilianzaje? na lini?
kwahiyo heshima inafundishwa KP sio nyumbani ehh!!!
kaka unanionea mie sijui lolote hasa hizi kazi...
Itabidi nikatae kuolewa
hahha bht sikatai kuolewa kwa ajili ya KP ila hizo kazi za wamama hapo kwenye picha ndio zitanifanya nigome kuolewa.....
hahaa vipi tena mie nilikutegemea wewe na Nyamayao kwenye KP yangu tena...hahaaaa mi sijui bana..............nilikuwa natifua tu hapa maana mtu mwenyewe 'kaka jamabzi' sijui haya ya KP's yalimfikaje.
binafsi si-intertain huu 'upuuzi'.......sorry to say so ni mtazamo wangu binafsi!!
oow my oow my ...bado mchuzi wa nazi na chapati za kusuka hee? haya waswahili wasije wakanioa mie shauri yao...kukuna nazi wewe unaogopa??? hahahaa lol we binti wewe!!!! shauri yako labda usiolewe na wanaume wa kiswahili......
mchuzi wa nazi sijui chapati za kusukuka lol!!!! simo mie
hahaa vipi tena mie nilikutegemea wewe na Nyamayao kwenye KP yangu tena...