Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,305
- 33,924
Kuna ulazima gani wa kuwa na Katiba ya nchi.
Kwani Nchi haiwezi kuongozwa bila ya kuwa na Katiba?
Katiba usipofuatwa kwa maslahi ya wananchi Katiba yenyewe inaweza kujitetea?
Mbona Uingereza haina Katiba "iliyoandikwa" na bado inaendeshwa vizuri zaidi kuliko baadhi ya nchi zenye Katiba zilizoandikwa?
Kwa nini kuwe na makelele kwamba Katiba imevunjwa. Kwani Katiba ikivunjwa nani anakosa mlo wake wa kila siku!?
SOMA KWA MAKINI!!
Kwani Nchi haiwezi kuongozwa bila ya kuwa na Katiba?
Katiba usipofuatwa kwa maslahi ya wananchi Katiba yenyewe inaweza kujitetea?
Mbona Uingereza haina Katiba "iliyoandikwa" na bado inaendeshwa vizuri zaidi kuliko baadhi ya nchi zenye Katiba zilizoandikwa?
Kwa nini kuwe na makelele kwamba Katiba imevunjwa. Kwani Katiba ikivunjwa nani anakosa mlo wake wa kila siku!?
SOMA KWA MAKINI!!