Bunge walikuwa sahihi. JWTZ kama limekomalia huo utaratibu ni makosa makubwa.
Raia wote wanatakiwa kuwa na mafasi sawa ya kwenda jeshini.
Kwa sasa ni rondomly selection zinafanyika kwa hao form six kwenda jeshini.
Wapo vijana wanaoishia form 4 na kupita njia nyingine.
Sio kila mtu anaweza kuwa askari,ila inapaswa kuwe na uwezekano sawa wa kila raia kupata nafasi ya jeshi.
Vinginevyo itakuja kutokea shida, uzalendo hautakuwepo.