Ukweli kabisa, niliwahi kuachana na mtu siku za mwanzo mimi niliumia halafu yeye wala hajali, baada kama ya wiki moja mbili hivi mimi nikawa nishamsahau, sasa yeye akawa anakuja kila siku na simu masaa yote eti nimsamehe, nilimjibu sikumbuki kama nilishawahi kuwa na uhusiano na wewe, mimi ninachojua your my friend only, aliumia sana akawa anashinda baa eti apunguze mawazo