<br />Kuna mtu aliwahi kuniambia,kama umemtokea mwanamke kwa muda aafu akawa anazingua punguza mawacliano naye.kama alikuwa anazuga basi atakutafuta,lakini kama alimaanisha na yeye anakusahau! hii imekaa vipi?
<br />Hakikisha umeona dalili fulani za mahaba then anajifanya haelewi ila kabla hujaziona dalili we komaa tu, we women, learn to love, mwanaume anatokea alipotoka, alisha draw interest kwa muda mrefu, kwa hiyo kwake inakuwa rahisi kutekelez kwa kukwambia, but akilifikisha, mwanamke anaanza kuangalia vitu vinayomvutia mpaka anaanza kufall, umeelewa?
<br />Hakikisha umeona dalili fulani za mahaba then anajifanya haelewi ila kabla hujaziona dalili we komaa tu, we women, learn to love, mwanaume anatokea alipotoka, alisha draw interest kwa muda mrefu, kwa hiyo kwake inakuwa rahisi kutekelez kwa kukwambia, but akilifikisha, mwanamke anaanza kuangalia vitu vinayomvutia mpaka anaanza kufall, umeelewa?
Ina tegemea, kama ulishanifuatilia vya kutosha, na kuna vitu nilipenda juu yako nitakutafuta, ila unaweza ukawa umekata tamaa mapema nikawa bado sijapata picha kamili, nauchuna tu<br />
<br />
kwa hiyo nikiona unachukua muda mrefu nikawa kama nimekupotezea,utantafuta?
<br />Kama umeingia uvunguni mwa mtima wake atakutafu na hilo halina ubishi ila hakikisha kwamba ameona utofauti na umemzowesha vitu fulani adimu kama story,sms na suprise fulani fulani.