Sasa unataka kufanya nini? Kwamba umueleze kuwa unakaribia kufa? Je utaeleweka? Au unataka kuitwa mchawi kwamba ulisema jamaa atakufa na kweli akafa?
Au unadhani unaweza badilisha hatima yake,kwamba ukimwambia inaweza kumuokoa na kifo,,hiyo kitu hakuna ikifika siku yako imefika,je kuna mtu angetaraji Lissu angekuwa hai,lakini siku yake bado,unakumbuka ile ajali ya ndege india,wakati ndege inapaa ikaungua,akapona mtu mmoja tu,basi jua kifo ni fumbo kubwa sana,kwahiyo wewe just observe mambo tu lkn huwezi badilisha chochote