Chipompo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2017
- 616
- 411
We noma! yan umegundua kiwa huo nimkono?I slt uMh..... Nkajua ndo unanyoa kumbe unatunisha msuli
We noma! yan umegundua kiwa huo nimkono?I slt uMh..... Nkajua ndo unanyoa kumbe unatunisha msuli
Ama kweli jf ni kisima cha burudani.Kama kwenu mnayaita makata..ma..vi, sasa ukiyanyoa siutajiongezea shughuli ya kuwa unakwenda chooni na kisu.... au mimi ndio sijakuelewa vizuri...
Nakushauri usinyoe nije nikutengenezee rasta
Sivipendi hvyo vinywele kabisa kwanza vinaleta kaharufu ila sasa mtihani ni namna ya kuviondoa cjui unakaa style gani kila nikijaribu naona kero, huwa navitoa hata kwa mwaka mara moja
Nimecheka sana, u made my day".....kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa "
UNATAKA ugundue nini baada ya kuzinyoa
Nakushauri usiznyoe mkuu..ukiznyoa ztaota nyingi zaidi thn itakuwa kero kwako....
Ukiamua kunyoa tumia mkas zkate juu juu tu...though yakiwa mengi sana ukikata gogo zitachafuka na gogo thn itakuwa easy kwako kupata magonjwa
Nimecheka sana, u made my day
Wew jamaaa unenichekesha mpaka bhasiiiii...Ukiona NJIA IMEWEKWA MIIBA manake njia haitumiki....sasa unasafisha ili WAPITE AU?
Izo zinasaidia ukijamba ushuzi usilie kwa sauti kubwa yaan kwa kifupi ni kama filter. ..ukizikata tu ujue ata ukijamba ushuzi mdogo utasikika tu hakuna namna
Shughuli gani mkuuwe nyoa alafu zikianza kuota utaipata shughuli yake!!