Kuna ubaya gani House girl akiwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanao?

Worry not...let the boy go to India, kuna vingi vya kuexplore kule, am sure atarudi akiwa na mtazamo tofauti!
Ila kuna kitu cha hatari nakihisi hapo, inawezekana mnamfungia sana huyo mtoto wa kiume mpaka anaona ndio kafika hapo na hakuna cha kuexplore huko nje...si tabia nzuri kufungia watoto, hasa wa kiume!
Madhara ya kufungia watoto wa kiume ni hatari. Let them explore and discover the world
 
Nina wasiwasi na aina ya malezi uliyompa mwanao. Anataka kuoa akuachie mke aende masomoni? Ulishamfundisha uwajibikaji kweli? Akienda shule, mkewe anakuwa hgeli wa bure unampa maintainance allowance au vipi?

Kitu kingine ni discipline. Mtu yeyote aliye na discipline, atahakikisha hatamani visivyotamanika. Hgeli ni dada, anapaswa kuwa kama mlezi na muangalizi wa familia. Kwa mwanao kutembea n hgeli haina tofauti na boss kutoka na secretary wake. Mnaweza kuja kudhurika bila kujijua. Najipatia picha nidhamu niliyokuwa ninayo wakati nakua, both kwa houseboy, mlinzi na housegalo. Kumbe ningeweza kuolewa na yule houseboy? Hapana, alikuwa kaka na aliweza kunisaidia hata maujanja ya kitaa.

nilikuwa nsaandika hayo hayo kumbe mawzo yetu yako swa naumga mkono hoja
 
mimi pia sioni kama kuna ubaya
ila sikushauri waoane kabla mwanao hajaenda shule.......
hao watoto bado ni wadogo, na kwa huyo kijana wako huko anakoenda atakutana na mengi tu, mwache aende akiwa free, akirudi kwa huyo binti basi kweli itakuwa alikuwa chaguo lake.
na pia msije mkampotezea mwelekeo binti wa watu, akaolewa halafu kijana akapata dada mwingine huko wakapagawishana halafu binti wa watu akaachwa solemba.
hayo mambo ya kuahidiana kuoana yapo hata kwa mahusiano ya watoto wa primary, kwa hiyo kuahidiana kuoana haimaanishi wanapendana kihiiiivyoooo na kweli wataoana.
kama ulishaongea na watoto basi ni vizuri husband pia ukamwambia....... siyo vizuri asikie toka kwa mtu mwingine

makinda na makinda yake anahoji wanakubali hoja ya FP waseme ndioo mimi ndiooooooooooooooooo waliosema ndio tumeshinda na kikao tumefunga
 
Una akili sana @FP! Big up kwa bonge la ushauri!!
mimi pia sioni kama kuna ubaya
ila sikushauri waoane kabla mwanao hajaenda shule.......
hao watoto bado ni wadogo, na kwa huyo kijana wako huko anakoenda atakutana na mengi tu, mwache aende akiwa free, akirudi kwa huyo binti basi kweli itakuwa alikuwa chaguo lake.
na pia msije mkampotezea mwelekeo binti wa watu, akaolewa halafu kijana akapata dada mwingine huko wakapagawishana halafu binti wa watu akaachwa solemba.
hayo mambo ya kuahidiana kuoana yapo hata kwa mahusiano ya watoto wa primary, kwa hiyo kuahidiana kuoana haimaanishi wanapendana kihiiiivyoooo na kweli wataoana.
kama ulishaongea na watoto basi ni vizuri husband pia ukamwambia....... siyo vizuri asikie toka kwa mtu mwingine
 
Mwanangu kamaliza form six, hakupata chuo mwaka huu, hivyo namfanyia mipango aende masomoni India akasomee degree ya graphic designing.
Nimegundua kuwa ana mapenzi ya dhati kwa binti yetu wa kazi, naye binti wa kazi anampenda kijana wangu kwa dhati.
Je zaidi ya mimba kuna athari gani nyingine?
Sijamwambia mume wangu kuwa nimegundua mahusiano hayo, ila nilikaa na huyo msichana, akasema anampenda mwanangu na wamesha kubaliana kuoana baada ya kijana kutoka masomoni India.
Nimeongea na kijana, anasema anampenda sana binti huyu wa kazi, na yuko tayari kuoa hata kesho, ili akienda India aache mke nyumbani.
Naombeni ushauri wenu.

Pumbavu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Achanisha huo uhusiano, how much cost you incar to take care your son alafu anaangukia kwa mwanamke hasiye kuwa na mbele wa nyuma(House maide)? Japo ana haki ya kupendwa na kupenda ila akatafute wa type yake.
 
Pumbavu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Achanisha huo uhusiano, how much cost you incar to take care your son alafu anaangukia kwa mwanamke hasiye kuwa na mbele wa nyuma(House maide)? Japo ana haki ya kupendwa na kupenda ila akatafute wa type yake.
kwa upeo wa ufahamu wa huyu mama giLESi nahisi hata yeye aliolewa akiwa ni mtumishi wa ndani
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom