Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,893
Mwanangu kamaliza form six, hakupata chuo mwaka huu, hivyo namfanyia mipango aende masomoni India akasomee degree ya graphic designing.
Nimegundua kuwa ana mapenzi ya dhati kwa binti yetu wa kazi, naye binti wa kazi anampenda kijana wangu kwa dhati.
Je zaidi ya mimba kuna athari gani nyingine?
Sijamwambia mume wangu kuwa nimegundua mahusiano hayo, ila nilikaa na huyo msichana, akasema anampenda mwanangu na wamesha kubaliana kuoana baada ya kijana kutoka masomoni India.
Nimeongea na kijana, anasema anampenda sana binti huyu wa kazi, na yuko tayari kuoa hata kesho, ili akienda India aache mke nyumbani.
Naombeni ushauri wenu.
Mwanangu kamaliza form six, hakupata chuo mwaka huu, hivyo namfanyia mipango aende masomoni India akasomee degree ya graphic designing.
Nimegundua kuwa ana mapenzi ya dhati kwa binti yetu wa kazi, naye binti wa kazi anampenda kijana wangu kwa dhati.
Je zaidi ya mimba kuna athari gani nyingine?
Sijamwambia mume wangu kuwa nimegundua mahusiano hayo, ila nilikaa na huyo msichana, akasema anampenda mwanangu na wamesha kubaliana kuoana baada ya kijana kutoka masomoni India.
Nimeongea na kijana, anasema anampenda sana binti huyu wa kazi, na yuko tayari kuoa hata kesho, ili akienda India aache mke nyumbani.
Naombeni ushauri wenu.
Mwanangu kamaliza form six, hakupata chuo mwaka huu, hivyo namfanyia mipango aende masomoni India akasomee degree ya graphic designing.
Nimegundua kuwa ana mapenzi ya dhati kwa binti yetu wa kazi, naye binti wa kazi anampenda kijana wangu kwa dhati.
Je zaidi ya mimba kuna athari gani nyingine?
Sijamwambia mume wangu kuwa nimegundua mahusiano hayo, ila nilikaa na huyo msichana, akasema anampenda mwanangu na wamesha kubaliana kuoana baada ya kijana kutoka masomoni India.
Nimeongea na kijana, anasema anampenda sana binti huyu wa kazi, na yuko tayari kuoa hata kesho, ili akienda India aache mke nyumbani.
Naombeni ushauri wenu.
ndio shida ya watoto wa kiume hapo unaweza kukuta nyumba nzima wanamzunguka hg kila mtu kwa wakati wake:glasses-nerdy:
Nina wasiwasi na aina ya malezi uliyompa mwanao. Anataka kuoa akuachie mke aende masomoni? Ulishamfundisha uwajibikaji kweli? Akienda shule, mkewe anakuwa hgeli wa bure unampa maintainance allowance au vipi?
Kitu kingine ni discipline. Mtu yeyote aliye na discipline, atahakikisha hatamani visivyotamanika. Hgeli ni dada, anapaswa kuwa kama mlezi na muangalizi wa familia. Kwa mwanao kutembea n hgeli haina tofauti na boss kutoka na secretary wake. Mnaweza kuja kudhurika bila kujijua. Najipatia picha nidhamu niliyokuwa ninayo wakati nakua, both kwa houseboy, mlinzi na housegalo. Kumbe ningeweza kuolewa na yule houseboy? Hapana, alikuwa kaka na aliweza kunisaidia hata maujanja ya kitaa.
Mambo hayo, mimi sitii neno, nawaachia makungwi na manyakanga walonge wao.
Allah msikh