hyassin92
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 583
- 631
Nashangaa sana watu wanaobeza juhudi za serikali kuwatoa wahuni waliokuwa katika hifadhi ya barabara kwa kujifanya machinga, hali ya kuwa machinga ni watu wanaotembeza vitu.
Wale ni wafanya biashara wasiolipa kodi, technical ni wajanja janja tu, ukiende miji iliyoendeelea huwezi kuta watu wako kwenye hifadhi ya barabara.
Wale ni wafanya biashara wasiolipa kodi, technical ni wajanja janja tu, ukiende miji iliyoendeelea huwezi kuta watu wako kwenye hifadhi ya barabara.