Passport ni utambulisho wa Utaifa wako. Vissa ni kibali cha kuingia taifa unalotarajia kwenda.
acha ushamba. vsa unaipata ktk ubaloz wa nchi unayoenda. passport unaipata ktk wzara ya nchi yko na huwez kutembelea nchi bla kua n vsa wala passport vyte muhm
Jamani nashukuru sana.ukweli niliku sielewi.
Ila nauliza tena.gharama ya VISA huwa ni kiasi gani kwa wastani? Na je huwa inausubufu kupata au ni maelezo yako:?
Jamani nashukuru sana.ukweli niliku sielewi.
Ila nauliza tena.gharama ya VISA huwa ni kiasi gani kwa wastani? Na je huwa inausubufu kupata au ni maelezo yako:?
Jamani nashukuru sana.ukweli niliku sielewi.
Ila nauliza tena.gharama ya VISA huwa ni kiasi gani kwa wastani? Na je huwa inausubufu kupata au ni maelezo yako:?
Jamani mi naomba kuuliza, hivi kuna tofauti gani kati ya VISA NA PASSPORT? Kwani kuna mtu ameniambia kupata VISA ni ngumu sana kwani nilifikiri PASSPORT NDIO VISA. Pia unaweza kuishi au kutembelea nchi kama za ulaya na Marekani bila VISA.?
acha ushamba. vsa unaipata ktk ubaloz wa nchi unayoenda. passport unaipata ktk wzara ya nchi yko na huwez kutembelea nchi bla kua n vsa wala passport vyte muhm
Jamani nashukuru sana.ukweli niliku sielewi.
Ila nauliza tena.gharama ya VISA huwa ni kiasi gani kwa wastani? Na je huwa inausubufu kupata au ni maelezo yako:?
acha ushamba. vsa unaipata ktk ubaloz wa nchi unayoenda. passport unaipata ktk wzara ya nchi yko na huwez kutembelea nchi bla kua n vsa wala passport vyte muhm
Unahisi kulikua na umuhimu gani wa wewe kumdharau kiasi hiki!?acha ushamba. vsa unaipata ktk ubaloz wa nchi unayoenda. passport unaipata ktk wzara ya nchi yko na huwez kutembelea nchi bla kua n vsa wala passport vyte muhm
Una miaka mingapi?
Umesoma shule ipi?
Nnakuomba nijibu hayo nikupe ushauri.