Kuna tofauti kati ya VISA na Pasport?

Kuna tofauti kati ya VISA na Pasport?

Wewe nawe unaleta mengine? shule ya mtu inahusiana vipi na ushauri wako? haya kasoma Alharamain olevel na kinondoni muslim alevels.
Nyie ndo walewale wanaouliza makabila.
Watu wengine bwana

Ahahaha
 
Viza ni vile vi daftari vidogo tulivokua tunatumia shule zamani...ila liwe na mistary midg na midg..ukifika ubalozi wa kijiji husika wanagonga muhuri....akuna cha maana tna.

Ahahaha,jf nooma dah
 
Passport ni utambulisho wa Utaifa wako. Vissa ni kibali cha kuingia taifa unalotarajia kwenda.
lup haya kaendelea na shughuli za utafutaji mali sasa, umeshajibiwa kwa ufasaha!
 
Last edited by a moderator:
...VISA ni kibali cha kuingia nchi nyingine...passport ni kitambulisho halali kuonesha umetokea wapi/mwenyej wa nchi gani...! vyote ni vibali...ila kimoja ni kitambulisho kingine ni pass ya kupita...
 
A passport is a travel document, usually issued by a country's government, that certifies the identity and nationality of its holder for the purpose of international travel

A visa (from the Latin charta visa, meaning "paper which has been seen"),[SUP][1][/SUP] is a conditional authorization granted by a country to a noncitizen to enter and temporarily remain within that country
 
Kama raia wa Tanzania ni haki yako kupata passport .
Passport inakuwezesha wewe kusafiri na kukutambulisha umetokea wapi.
Ila Visa unawekewa ndani ya passport, ukitaka kwenda nje ya nchi,unaenda ubalozi wa nchi husika na kuwekewa visa.
Huwezi kwenda Marekani au Ulaya pasipo na Visa na passport .

Sawa kabisa mkuu, lakini kuna ambazo siyo lazima uwe visa, kama South Africa.
 
Jamani mi naomba kuuliza, hivi kuna tofauti gani kati ya VISA NA PASSPORT? Kwani kuna mtu ameniambia kupata VISA ni ngumu sana kwani nilifikiri PASSPORT NDIO VISA. Pia unaweza kuishi au kutembelea nchi kama za ulaya na Marekani bila VISA.?

Passport ni hati ya kusafiria ambayo nchi hutoa kwa raia wake.
Visa ni kibali cha kumruhusu mwenye Passport kuingia katika nchi anakoomba kwenda.
 
acha ushamba. vsa unaipata ktk ubaloz wa nchi unayoenda. passport unaipata ktk wzara ya nchi yko na huwez kutembelea nchi bla kua n vsa wala passport vyte muhm

Unajifanya ujuaji kumbe bure kabisa

Kwa Taarifa yako kuna Visa nyingi tu zinapatikana Border au Airport na sio lazima ubalozini kama unavyojidhihirisha kutokuelewa kwako, Visa za DRC, MOZAMBIQUE, ETHIOPIA unaweza kuzipata nje ya ubalozi
 
Passport ni hati ya kusafiria unayopewa na nchi yako ili utambulike ugenini kuwa wewe ni raia wa nchi gani
Na visa ni ruhusa inayotolewa na nchi uliyo omba kuitembelea baada ya kukidhi vigezo na huwa inagongwa au kubandikwa ktk passport ikithibitisha kuwa umeruhusiwa kutembelea nchi husika
 
Wewe nawe unaleta mengine? shule ya mtu inahusiana vipi na ushauri wako? haya kasoma Alharamain olevel na kinondoni muslim alevels.
Nyie ndo walewale wanaouliza makabila.
Watu wengine bwana



Ha haaaaa haa haaaaaaa!
mbavu zangu mwee wajameni!!!!
 
Wewe nawe unaleta mengine? shule ya mtu inahusiana vipi na ushauri wako? haya kasoma Alharamain olevel na kinondoni muslim alevels.
Nyie ndo walewale wanaouliza makabila.
Watu wengine bwana
Nadhani dada yetu ameuliza maswali ya msingi sana! Lakini kwa sababu Bongo ni nchi ya vilaza wengi watamkandia
 
Visa ni ruhusa inayotolewa na nchi husika kwa mtu mwenye pasipoti ya nchi yake ya Uraia kuingia nchi hio! hivyo naomba ujue kuwa nchi yako ndio inayokupa pasipoti lakin nchi unayokwenda inaweza kukupa idhini ya kuingia (Visa) au ikakukatalia!
 
Back
Top Bottom