johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,959
- 141,956
Bavicha walienda Kanisa Katoliki kumuombea mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ambaye yuko gerezani lakini baadhi yao walikamatwa na vyombo vya usalama kwa kuleta usumbufu " Ibadani"
Leo askofu Gwajima ameweka video Kanisani inayowaonyesha mawaziri wa serikali ya JMT wakipiga nyungu huku wakipinga chanjo na akawashambulia sana tena katikati ya " ibada"
Je, kuna tofauti yoyote kati ya usumbufu ulioletwa na Bavicha na huu wa askofu Gwajima?
Mungu ni mwema wakati wote!
Leo askofu Gwajima ameweka video Kanisani inayowaonyesha mawaziri wa serikali ya JMT wakipiga nyungu huku wakipinga chanjo na akawashambulia sana tena katikati ya " ibada"
Je, kuna tofauti yoyote kati ya usumbufu ulioletwa na Bavicha na huu wa askofu Gwajima?
Mungu ni mwema wakati wote!