GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Kama mechi yenu tena ya hapa hapa nyumbani Dar es Salaam nchini Tanzania Uwanja wa Mkapa ilionyeshwa mubashara (live) na mkademadema na kupata alama (point) moja mnadhani kwa kuonyeshwa kwao ndiyo mtawafunga?
Wenzenu Wasudan (Waarabu) nje ya mpira pia wana jicho kali la kibiashara hivyo waliona wawajambisheni (wawatishe) kwanza kuwa mechi yenu haitoonyeshwa ili mjae katika shabaha mlalamike kisha Azam Tv nao wakiomba dili la kuionyesha watoe pesa ndefu kama ambayo wameitoa na sasa mechi yenu kuonyeshwa.
Kwa kifupi hawa Wasudan mnaoenda kucheza nao wamefanikiwa sehemu mbili, ya kwanza ni wao kuwa na uhakika wa kuwafunga kwao lakini pia wameshaingiza pesa ya kutosha kutoka kwa Azam Tv.
Na ni nani aliyewadanganya kuwa Waarabu hata mechi yao ikiwa mubashara (live) huwa hawafanyi fujo na figisu figisu zao?
Fujo mtafanyiwa sana tu kudadadeki zenu, tena za kila aina! Kufungwa mtafungwa tu na hakuna mtu wa CAF atakayewatisha.
Na mkumbuke wakati nyie mkimsifia na kumbabaikia tajiri wenu mjanja mjanja (tapeli tapeli), wao tajiri yao ana fedha ambazo mpaka zingine hajui azipeleke wapi!
Wenzenu Wasudan (Waarabu) nje ya mpira pia wana jicho kali la kibiashara hivyo waliona wawajambisheni (wawatishe) kwanza kuwa mechi yenu haitoonyeshwa ili mjae katika shabaha mlalamike kisha Azam Tv nao wakiomba dili la kuionyesha watoe pesa ndefu kama ambayo wameitoa na sasa mechi yenu kuonyeshwa.
Kwa kifupi hawa Wasudan mnaoenda kucheza nao wamefanikiwa sehemu mbili, ya kwanza ni wao kuwa na uhakika wa kuwafunga kwao lakini pia wameshaingiza pesa ya kutosha kutoka kwa Azam Tv.
Na ni nani aliyewadanganya kuwa Waarabu hata mechi yao ikiwa mubashara (live) huwa hawafanyi fujo na figisu figisu zao?
Fujo mtafanyiwa sana tu kudadadeki zenu, tena za kila aina! Kufungwa mtafungwa tu na hakuna mtu wa CAF atakayewatisha.
Na mkumbuke wakati nyie mkimsifia na kumbabaikia tajiri wenu mjanja mjanja (tapeli tapeli), wao tajiri yao ana fedha ambazo mpaka zingine hajui azipeleke wapi!