ugolo wa bibi
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 1,305
- 302
ziko tatu
Hahahaaa wee mwanafunzi hebu acha uhuni bwana kwanza umeshaweza kupaa kwa Rakim,heh heh.
Mkuu umekosa japo umeonesha vizuri kwa mfano nadhani mfano wako utakuongoza vizuri.
Hebu anzia kwenye T ya kati halaf nenda kulia au kushoto then shuka chini au panda juu halaf niambie haisomeki TIGER ?.
inasomeka lkn sio ktk mstari ulonyooka...I thought ukifanya puzzle unatakiwa usome in one line usipeleke zigzag lol!!
Hahahaaa wanafunzi wa leo mnamfundisha mpaka mwalimu asee,well..........unaweza ukasoma kwa style yoyote lakini isiwe diagonally gorgeousmimi .
Dah.........umekosa mkuu.
Yeah hamna mkuu ila inatakiwa kusomeka hivyo mwaya left,right,up & down mwaya,TRY AGAIN G.