Golden_boy
Member
- Nov 15, 2016
- 10
- 2
Juzi nimepata taarifa ya kuwa nimepata mkopo ,na kabla ya hapo niliiasha confirm udom
sasa nimepata kazi juzi hivyo nataka kubadilisha nisome hapahapa dar ili iwe rahisi kufanya kazi na pia kusoma chuo muda wa jioni,kuna tatizo nikiconfirm tena chuo kingine naomben msaada wenu
sasa nimepata kazi juzi hivyo nataka kubadilisha nisome hapahapa dar ili iwe rahisi kufanya kazi na pia kusoma chuo muda wa jioni,kuna tatizo nikiconfirm tena chuo kingine naomben msaada wenu