Kuna taarifa za kuwepo na madhara kwenye simu

Mr. Mangi

JF-Expert Member
Sep 21, 2014
1,515
766
WanaJF, hofu imetanda katika mtaa wetu kuhusiana na madhara yanayosababishwa na simu, laptop, tv, n.k hasa kwa vijana kwani kumekuwa na wataalamu wanaoelezea madhara hayo kama vile saratani hasa kwa kina mama wanaohifadhi simu vifuani, upunguzaji wa nguvu za kiume, magonjwa ya macho, sikio n.k.

Mbadala wanaoshauri ni kuacha kutumia simu ama kutumia kwa uchache na umakini sana, jambo ambalo sio rahisi kwa wengi hasa wanafunzi ktk ngazi tofaut. Pili kuna ishu ya vyakula hasa tunaoishi zaidi mijini kwani kuanzia matunda, mayai, mboga mboga, mafuta vimejaa kemikal kibao jambo ambalo linaelezwa kuwa na madhara makubwa na kutabiriwa miaka 10 ijayo idad ya watoto wachanga itapungua kwa kias kikubwa.

Ushauri inapowezekana tupunguze utumiaji wa vitu hivyo
 
Vipi hawajakuuzia dawa ya kuzuia hayo madhara maana ni kawaida yao kuwatia hofu halafu wanawauzia wanachoita Kinga au tiba.
 
Wana Jf, hofu imetanda ktk mtaa wetu kuhusiana na madhara yanayosababishwa na simu, laptop, tv, n.k hasa kwa vijana kwani kumekuwa na wataalamu wanaoelezea madhara hayo kama vile saratani hasa kwa kina mama wanahifadhi simu vifuani, upunguzaji wa nguvu za kiume, magonjwa ya macho, sikio n.k. Mbadala wanaoshauri ni kuacha kutumia simu ama kutumia kwa uchache na umakini sana, jambo ambalo sio rahisi kwa wengi hasa wanafunzi ktk ngazi tofaut. Pili kuna ishu ya vyakula hasa tunaoishi zaidi mijini kwani kuanzia matunda, mayai, mboga mboga, mafuta vimejaa kemikal kibao jambo ambalo linaelezwa kuwa na madhara makubwa na kutabiriwa miaka 10 ijayo idad ya watoto wachanga itapungua kwa kias kikubwa. Ushauri inapowezekana tupunguze utumiaji wa vitu hivyo

Kwahiyo tusitumie?
 
Wengi wao ni matapeli wanaongea yoote mwisho wa siku wanawauzia dawa kwa bei ya juu sana wakidai ndio kinga ya kujilinda na hayo majanga
 
hawakuuza tiba yoyote wala kinga ila wanazunguka makanisa ya kikatoliki kutahadharisha
 
Hivi vitu vinatumika dunia nzima , nchi za watu walianza kutumia hivi vitu, tv, laptop, simu e. t. c miaka kibao huko enzi hizo sisi tuko under mkoloni lakin bado watu wanazaliana na vitu kama hvyo,, so ni ngumu kuepuka hata kama madhara yapo sio kwa ukubwa huo kama tunaoupata kwenye vyakula vya kemikal,,
 
Hivi vitu vinatumika dunia nzima , nchi za watu walianza kutumia hivi vitu, tv, laptop, simu e. t. c miaka kibao huko enzi hizo sisi tuko under mkoloni lakin bado watu wanazaliana na vitu kama hvyo,, so ni ngumu kuepuka hata kama madhara yapo sio kwa ukubwa huo kama tunaoupata kwenye vyakula vya kemikal,,
wenzetu wanajikinga sisi hawatukingi ili waje wachukue ardhi
 
wenzetu wanajikinga sisi hawatukingi ili waje wachukue ardhi

Kwenye simu, laptop na tv wanajikingaje mkuu,,? Amini usiamin sisi tunapotea sana kwenye vyakula aisee,, vyakula kemikal hata tusipokula chakula chenye kemikal bado hatufanyi mazoez ili kuunguza chakula tunachokula,, mtu hufanyi kazi za kutoka jasho afu mazoez hufanyi na chakula unachokula ni wanga na mafuta hapo hujataja vya kemikal,, mwsho ni visukar, kupungua nguvu za kiume makansa nk
 
Everything is Risk. Hata ukiwa kwenye gari laweza kupinduka. Ukitembea waweza kugongwa kwa gari. Ukiruka kwa ndege yaweza potelea mawinguni.

Waweza kufa kwa malaria, pressure. kisukari. saratani etc.

Kifo tumeumbiwa wanadamu. Watu waache woga wa kufa hakuna atakayeushi milele. Siku moja utakufa whether upende au usipende.

Ishi bila woga. Tenda mema, Muabudu Mungu. Heaven is the best place to be....don't miss it.
 
Everything is Risk. Hata ukiwa kwenye gari laweza kupinduka. Ukitembea waweza kugongwa kwa gari. Ukiruka kwa ndege yaweza potelea mawinguni.

Waweza kufa kwa malaria, pressure. kisukari. saratani etc.

Kifo tumeumbiwa wanadamu. Watu waache woga wa kufa hakuna atakayeushi milele. Siku moja utakufa whether upende au usipende.

Ishi bila woga. Tenda mema, Muabudu Mungu. Heaven is the best place to be....don't miss it.

heaven it's our destiny, ila kwenye uwezekano wa kuepuka madhara flani inabudi kufanya hivyo
 
Back
Top Bottom