wazir2716
Member
- Dec 3, 2017
- 14
- 15
Nashindwa kujua ni kwanini makampuni mengi utawakuta hawa jamaa ndio mabosi tena hawana utu kabisa katika kusimamia haki za wafanyakazi wao. Serikali iko wapi juu ya waajiri kama hawa tunaoteseka ni sisi wananchi zaidi tupo ndani ya Taifa letu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app