Kuna siri gani kwa wahindi

Kuna siri gani kwa wahindi

wazir2716

Member
Joined
Dec 3, 2017
Posts
14
Reaction score
15
Nashindwa kujua ni kwanini makampuni mengi utawakuta hawa jamaa ndio mabosi tena hawana utu kabisa katika kusimamia haki za wafanyakazi wao. Serikali iko wapi juu ya waajiri kama hawa tunaoteseka ni sisi wananchi zaidi tupo ndani ya Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nashindwa kujua ni kwa nn makampuni mengi utawakuta hawa jamaa ndio mabosi tena hawana utu kabisa katika kusimamia haki za wafanyakazi wao. Serikali iko wapi juu ya waajiri kama hawa tunaoteseka ni sisi wananchi zaidi tupo ndani ya Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wenye matatizo co wahindi ninyi wenyewe nikuulize kunachama gani cha kutetea maslah ya wafanyakazi kinongozwa na muhindi ndugu zenu wenyew ndiio wanaowaangusha.wshindi mnawacngizia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wenye matatizo co wahindi ninyi wenyewe nikuulize kunachama gani cha kutetea maslah ya wafanyakazi kinongozwa na muhindi ndugu zenu wenyew ndiio wanaowaangusha.wshindi mnawacngizia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho vyama kazi yao ni kukusanya michango tuu kila mwisho wa mwezi, ukipata tatizo unapambana kimpango wako,
Tena kwa hizi kampuni zetu hata wale uliowakuta yaan senior tatizo likikufika nao wanakausha kimya hivyo unapambana peke yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho vyama kazi yao ni kukusanya michango tuu kila mwisho wa mwezi, ukipata tatizo unapambana kimpango wako,
Tena kwa hizi kampuni zetu hata wale uliowakuta yaan senior tatizo likikufika nao wanakausha kimya hivyo unapambana peke yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa vyama vya kutetea haki vipo kimaslahi yao binafsi havina tofaut na vyama vya siasa walanguzi tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbali na kusubir vyama vitutee ukweli ni kwamba hawa jamaa hawanaga utu kabisa yaan wanachojari wao ni kazi zao tu ziende bila kuzingatia haki zako za msingi.
Mkuu wenye matatizo co wahindi ninyi wenyewe nikuulize kunachama gani cha kutetea maslah ya wafanyakazi kinongozwa na muhindi ndugu zenu wenyew ndiio wanaowaangusha.wshindi mnawacngizia tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nashindwa kujua ni kwa nn makampuni mengi utawakuta hawa jamaa ndio mabosi tena hawana utu kabisa katika kusimamia haki za wafanyakazi wao. Serikali iko wapi juu ya waajiri kama hawa tunaoteseka ni sisi wananchi zaidi tupo ndani ya Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Wahindi ndiyo jami pekee duniani, hakuna nyingine wanaoishi kiunyanyapaa, ni wao tu dunia hii. Wahindi wamegawanyika katika makundi 4 ambayo ni (1) wasioguswa/kushikika (2) matajiri (3) wafanyakazi na (4) mafukara. Kivumbi kinakuja hapa kwa ndugu zetu mafukara. Hawa jamaa wamegawanyika katika makundi 2,000, yaani aliye nafuu kidogo anambagua aliye chini yake na kama umezaliwa katika familia ya kimasikini basi utakufa kimasikini. Yaani kwa ufupi, wahindi kubaguana ni jadi kwao, wanaishi hivyo na pengine asipombagua mtu ajisikii vizuri.
 
Hivyo vyama mtavishambulia bure tu, ukweli ni kwamba watz wote tuna shida, tazama hii:

1. Kuna serikali, ambayo kama tujuavyo haipendi kukosolewa na kwa kiasi kikubwa baadhi ya maofisa wasio waaminifu hula njama na wawekezaji kwa maslahi yao binafsi.Hapo hata uje na chama gani cha utetezi, kama kiongozi wa chama asipopozwa kwa pipi basi atachapwa kwa viboko.Ninadhani hatuna haja ya kutaja viongozi wa vyama au jumuiya za wafanyakazi waliotendwa kisaikolojia ama kifizikia.

2.Kuna wafanyakazi wenyewe.Watanzania wengi ni waoga na wanafiki. Ukijitolea kuwaongoza, ujipange kupoteza na kuumia kivyako. Wengi wakishakuwa na chama hutegemea mazuri bila ya wao kuumia. Kiongozi huchukuliwa kama Mungu wa kufikirika,ambaye atawasaidia bila ya wao(wafanyakazi) kuteseka. Kuna baadhi ya maeneo ya kazi, hata kufika mikutanoni ni shida. Lakini watu hawaishi minong'ono kuwa wanaonewa.

3.Kuna kukosa maarifa ya tafakuri tunduizi(Critical Thinking). Sote tunaishi kijadi zaidi ambapo ukweli huonekana kama uadui. Aidha, kuhoji au kuwa na mitazamo tofauti au mipya ni utovu wa nidhamu. Kama haitoshi, tunaamini vitu ni kweli kwakuwa tu tunaamini hata kama hatuna ushahidi wa kuthibitisha imani hiyo.


Kwa mantiki hii usishangae hata sisi huku wapiga kelele tukipewa uongozi wa hivyo vyama mambo yatabaki vilevile. Hao wanaongoza ni sehemu yetu. Na kama unahisi utafanya mabadiliko,gombea uchukue uongozi utusaidie.

Mungu awabariki
 
Wahindi ndiyo jami pekee duniani, hakuna nyingine wanaoishi kiunyanyapaa, ni wao tu dunia hii. Wahindi wamegawanyika katika makundi 4 ambayo ni (1) wasioguswa/kushikika (2) matajiri (3) wafanyakazi na (4) mafukara. Kivumbi kinakuja hapa kwa ndugu zetu mafukara. Hawa jamaa wamegawanyika katika makundi 2,000, yaani aliye nafuu kidogo anambagua aliye chini yake na kama umezaliwa katika familia ya kimasikini basi utakufa kimasikini. Yaani kwa ufupi, wahindi kubaguana ni jadi kwao, wanaishi hivyo na pengine asipombagua mtu ajisikii vizuri.
Duh..
 
Back
Top Bottom