Ethics tells us to do good even if no one sees you but you know that what you’re doing is right.Kuonesha upendo sio shida shida ipo kwa wale wanao oneshwa upendo je wapo tayr na ww? Unaweza kukuta mma mkwe kumbe hakutaka wwe uolewe na mwanae labda kuna kabint aliona kanamfaa mwanae
Kumpenda asiyekupenda ni changamoto..Hongera kwa walio fanikiwa kwenye hili..Ethics tells us to do good even if no one sees you but you know that what you’re doing is right.
Yaaap, hilo nalo neno, back days nilikuwa nasaidia sana mbali na watu wa mtaani ninapoishi, nimejitoa sana kwa ajili ya sehemu ninayofanyia kazi, ila yaliyonikuta last year, nikajisemea enough is enough sitokuja kusaidia mtu tena hata aje analia machozi ya damu. Ndio utaratibu niliojiwekea, kama business let us do business full stop.Sawa ila kuna watu wanavunja moyo wa kusaidia watu wengine,imani ya kusaidia inapungua taratibu
Kuna watu unawapenda kwa roho safi, ila ukiwapa kisogo wanakung'ong'a tena kwa maneno mabaya kabisaView attachment 1103435
Umekutana na mwanaume amefiwa na mkewe na ameachiwa watoto wadogo. Onyesha mapenzi kwa watoto.
Unaolewa na umemkuta mama mkwe umri umesogea, mlee kwa mapenzi yote.
Kuna sababu ya wewe kuwepo pale.
ukijua inauma ,asikuambie mtuUmetimiza jukumu lako hayo waachie wao