Kuna njama ndani ya CHADEMA

unaandika utumbo halFu unataka uachwe halaf c uende jukwaa la mmalalamiko hp c sehm yk
 
acha ktumika unaongea vitu usivovijua

Sasa kama issue unaijua kwa nini umeileta hii post hapa ilihali unaijua mwanzo mwisho???,Umeipost ili tuijadili au umeipost kama taarifa kwa wana Jf????.
 
Ninamini naikindichoninacho amini mbowe. Slaa wao wanaona kuwa kuvunja sheria ndani ya chama kwa mabavu kuwa kumuondowa zito ndio itakuwa suluhisho ya namini ndani yakundi lambowe bado kutatokeya kutokuwelewana kama hali ya ukandamizaji utaendelea kwenye chama namini kipimo cha mtu au uongozi ni kwenye pesa asanteni 2015 siombali
 

chama kikijaa wachaga ni tatz wapo after money
 

My take:

kwa kuwa umeileta hoja hii kwa malengo mahsusi ambayo bahati nzuri kwetu umeyaonyesha kwenye "my take" yako hasa ulipoanza kuijadili hoja yako ki-nazi, inawezekana "my take" yako imehaririwa lumumba.
siwezi kuwasha kibatari kwa uzembe wa ccm.
 
wamemwaga mboga sasa subiri tuanze kumwaga ugali

nyie viherehere ndio mmemmaliza ZZK,kwamba sasa nyie mnamwaga ugali? cdm wamemwaga mboga na ccm mnamwaga ugali! kweli mmemtumia sana jamaa
 
Wataumbuana mda umefika na kwa taratibu hizi iko siku tutachagua mwenda wazim kwenda ikulu
 
Zitto haheshimu viongozi wa juu yake kisa anawazidi elimu. Hii haikubariki.
 
Once you start thinking about it in a mercenary frame of mind, then you're finished. You're a joke, because there are too many mercenaries out there already.
 
Acha kuwaraghai watanzania, kajenga chama mikoa ya wapi, mbona kwake kumemshinda, waeleze watanzania ukweli, mkoa wa Kigoma una wabunge wangapi, na je? Jimbo analoongoza Zitto lina madiwani wangapi, tuache unafiki.
 
Acha kuwaraghai watanzania, kajenga chama mikoa ya wapi, mbona kwake kumemshinda, waeleze watanzania ukweli, mkoa wa Kigoma una wabunge wangapi wa chdema, na je? Jimbo analoongoza Zitto lina madiwani wangapi wa chadema, tuache unafiki.
 
Zitto haheshimu viongozi wa juu yake kisa anawazidi elimu. Hii haikubariki.


Elimu yenyewe aliyonayo elimu? au basi tu? Kuna watu wamesoma bwana na wameelimika, sio hawa wanaojikweza na mivyeti yao wakati hawajaelimika...

Elimu isiowasaidia watu sio elimu, ni kuhudhuria darasa tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…