Kuna nini TANROAD Mkoa wa Ruvuma?

Kuna nini TANROAD Mkoa wa Ruvuma?

NTUZU star

Member
Joined
Jul 4, 2015
Posts
41
Reaction score
8
Ndg wana JF na wasakatonge wnzng wa ajira, miezi miwili ilopta TANROAD Songea walitangaza nafasi za kazi ikiwemo shift-Incharge.

Chakushangaza hadi leo sijapata simu wala taarifa yeyote ya mchakato,naombeni msaada wenu ili nijue wapi pakupata nauli.

Asante.
 
Mkuu Unasema Ruvuma? Tanga Ndo Kabxa Waltangaza Kabla Ya Ruvuma Na Kwa Ushaur 2 Serkal Etu Ndo Ilvyo Vumilia Na Fanya Michakato Mingne Hawa Wanaweza Wakawa Tayar Wamesha Wapa Ndugu Zao
 
Hilo nalo ni wazo mdau,hawa jamaa sijui lini watajakuwa serious nakuacha nepotism,ahsnte sn.
 
Usilete Majungu hapa nenda ofsini kwao au Tafuta sehemu ingine,hujajibiwa ni hujapata. Kulikuwepo na kipindi cha MIKINGAMO RTD enzi hizO, SHIFT INCHARGE ISIKUSUMBUE KAONGEZE ELIMU
 
Back
Top Bottom