NTUZU star
Member
- Jul 4, 2015
- 41
- 8
Ndg wana JF na wasakatonge wnzng wa ajira, miezi miwili ilopta TANROAD Songea walitangaza nafasi za kazi ikiwemo shift-Incharge.
Chakushangaza hadi leo sijapata simu wala taarifa yeyote ya mchakato,naombeni msaada wenu ili nijue wapi pakupata nauli.
Asante.
Chakushangaza hadi leo sijapata simu wala taarifa yeyote ya mchakato,naombeni msaada wenu ili nijue wapi pakupata nauli.
Asante.