Kuna nini ndani ya moyo wa Lowassa?

Kuna nini ndani ya moyo wa Lowassa?

[h=2]Hivi Lowassa anawaza nini hapa?? waliosomea saikolojia watusadie[/h]
MMGL0629.jpg


Naomba wale viongozi wa Dini wanaomuunga Mkono Lowasa msadieni kutatua ,Mambo yanayomsumbua Lowasa na Kama hali hii itaendelea ni hatari!!
Hoja hapa Kuna nini Ndani ya Moyo wa Lowasa???


Najaribu kutafuta picha zake za zamani nione kama hili jicho lake la kulia ndivyo hivyo lilivyo toka zamani au linaanza kup00z@
 
Najaribu kutafuta picha zake za zamani nione kama hili jicho lake la kulia ndivyo hivyo lilivyo toka zamani au linaanza kup00z@
Ni la kushoto. Utazame vizuri na huo mdomo, visible signs of a mild stroke.
 
Kapewa assurance na yule tapeli wa Nigeria kwamba zamu hii ni yake. Wacha watu wale pesa yake.

Watu wanapiga sana hela kutoka kwa huyu jamaa aisee. Yaani washauri wake wanajua jamaa ana wakati mgumu ila hawataki kumwambia ukweli mirija ya fedha itakatika.
 
Back
Top Bottom