Kuna nini ndani ya moyo wa Lowassa?

Kuna nini ndani ya moyo wa Lowassa?

[h=2]Hivi Lowassa anawaza nini hapa?? waliosomea saikolojia watusadie[/h]
MMGL0629.jpg


Naomba wale viongozi wa Dini wanaomuunga Mkono Lowasa msadieni kutatua ,Mambo yanayomsumbua Lowasa na Kama hali hii itaendelea ni hatari!!
Hoja hapa Kuna nini Ndani ya Moyo wa Lowasa???



Amani na upendo mkuu,lkiwamo huruma tele kwa watanzania wanyonge!!!
 
Mheshimiwa huyu anataka kuingia katika kundi la maraisi waliowahi kupata Kiiharusi(parkinson's disease) kama raisi w Haiti,raisi w Argentina na bila kumsahau kinara wa masumbwi ulimwenguni Mohamed Alli.:yawn:
 
Anawaza jinsi watakavyo gawana rasilimali zetu na marafiki zake pindi atakapo ingia ikulu.....yaani hapo kwa shauku aliyonayo anaona kama masaa hayaendi vile.............mbona yeye mwenyewe alishaweka wazi kuwa bado anausaka utajiri........mwenye akili na afikirie.......
 
Huyu jamaa umri umeenda! Bora atangulie mbele ya haki atuachie nchi yetu, sababu ela ambazo ameshatumia ni nyingi.... Akiingia ikulu sembe tutanunua sh 2'000/=.
 
Hivi Lowassa anawaza nini hapa?? waliosomea saikolojia watusadie

MMGL0629.jpg


Naomba wale viongozi wa Dini wanaomuunga Mkono Lowasa msadieni kutatua ,Mambo yanayomsumbua Lowasa na Kama hali hii itaendelea ni hatari!!
Hoja hapa Kuna nini Ndani ya Moyo wa Lowasa???



anawaza israeli atamchukua kwa staili gani endapo jina lake litakatwa 12 july 2015 na jinsi mali zake atakavyoziacha watu wazisosomole.
 
Anawaza jinsi gani atapapokea taarifa za kuchinjiliwa mbali jina lake siku ilee 12/7 daah kwake ni kama siku ya kifo nuru itazima ikifuatiwa na giza totoro!!!!... Buriani Lowassa ikulu uliipenda sana ila ndo hivyo tena!!!
 
Lowasa anaumwa, kugombea urais ni tamaa ya madaraka tu. Kama mnabisha muangalieni anapotembea. Nadhani wakati umefika sasa watia nia wote wacheki afya zao bila kujali chama anachotoka. Shinikizo la damu, ukimwi/HIV, kisukari, Pressure na magonjwa mengine. Yeyote akigundulika kuwa na tatizo ashauliwe na chama chake kutogombea. Vinginevyo kama taifa tutaingia garama mara mbilimbili za uchaguzi.
 
Huyu jamaa umri umeenda! Bora atangulie mbele ya haki atuachie nchi yetu, sababu ela ambazo ameshatumia ni nyingi.... Akiingia ikulu sembe tutanunua sh 2'000/=.

Mungu akusamehe...Ole wako unayemuombea binadamu mwenzako mauti wewe ni sawa na shetan. ...Mungu naomba umpe mheshimiwa lowassa maisha marefu na awe Rais wa kukumbukwa katika nchi yetu ameen
 
Mheshimiwa huyu anataka kuingia katika kundi la maraisi waliowahi kupata Kiiharusi(parkinson's disease) kama raisi w Haiti,raisi w Argentina na bila kumsahau kinara wa masumbwi ulimwenguni Mohamed Alli.:yawn:

Utakufa na kiharusi wewe mwenyew punda kwel
 
Ndani ya moyo wa Lowassa kuna Aorta, Right ventricle, Left ventricle, Spectrum, Right atrium Left atrium, Blood vessels....
 
Hapo anapiga hesabu je nyumbu zake zile milioni 8 zitapiga kura kweli au zinatafuna tu hela zake na kumfariji kinafiki?
 
Mleta mada kuna point ya msingi sana hapa unataka kutueleza.lakini wengi hatujaweza kuigundua.lowassa kuna kitu kinamuuma sana rohoni na anahamu sana ya kulipa kisasi.sasa kwa kuwa haongei naona kama inazidi kumletea madhara kila kukicha.akikosa kuwa rais anaweza kufa siku chache zijazo.mtazamo wangu kutokana na picha inavyojieleza.
 
Oktoba ndo mwisho ya yote,hapa tutaongea uongo mwingi na full kujisifia ngoja muda ufike.
 
Back
Top Bottom