mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,291
- 798
Kabla hujaanza kuleta ushabiki jiulize ni kwanini mzee na uvivu wake wote ule, familia kutajwa kuhusika na ESCROW kuzima migomo ya mdaktari, wahitimu wa JKT, na wafanyabiashara kwa kutolewa meno bila ganzi, huyu aliyeshusha thamani ya fedha yetu, kwanini anampinga Lowassa.
Makonda huyu cheap poparity seekeer, alimpiga makofi Warioba akijaribu kuzuia katiba ya wananchi, hamjiulizi kwanini?
Hamjiulizi kwanini mwizi wa fedha za gadafi huyu mwenye visa na visasi anamchafua Lowassa?
Sitta mnafiki aliyefikiri kwa kuyumbisha ukweli na mawazo ya wananchi na katiba ya warioba, 6 yule mwenye ubinafsi alifikiri kwa kuwapendelea wabunge ccm kweny bunge la BMK angepewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya ccm, huyu mnafiki huyu anampinga lowassa
Msema hovyo Nape , huyu ambaye alihusishwa kuanzisha cham cha CCJ pamoja n sita , anamuunga mkono mtu kama membe, kwanini???
Kabla hatujaanza ushabiki tujiulize, ni kwanini kati ya wagombea wote ni lowassa tu kila siku?
Magazeti ya serikali inayojiita sikivu, serikali iliyoshindwa kabsa kutatua kero za wananchi, inayoendesha mambo kibabe, mfano swala la katiba mpya, migomo, ni kwanini hawa nao wamejikita kumnyoshea kidole lowassa??
Kati ya watia nia wote ni lowassa tu ananyooshewa kidole? kuna nini hapa? ninapata wasiwasi kwanini?? kuna kitu gani katikati hapa?
Sijasikia mtia nia akimsema vibya mwenzake tofauti na Lowassa
Makongoro, Sita, Membe, Makamba, Wassira, Mwigulu wote hawa wamemsema vibaya, lakini si mwingne, Nauliza KUNANI?
Mwisho napenda kushauri ni vema tukaliangalia hili swala kwa mapana na marefu, ushabiki wakijnga utatuletea balaa, tutapata raisi mbovu, mzembe, msema ovyo bila vitendo pasipo vitendo, mwizi, fisadi kuwahi kutokea.
Ifike wakati tunaojiita maGREAT THINKERS tutumia akili zetu kuchambua mambo na sio kuleta ushabiki usio na maana
Usiku mwema.
Makonda huyu cheap poparity seekeer, alimpiga makofi Warioba akijaribu kuzuia katiba ya wananchi, hamjiulizi kwanini?
Hamjiulizi kwanini mwizi wa fedha za gadafi huyu mwenye visa na visasi anamchafua Lowassa?
Sitta mnafiki aliyefikiri kwa kuyumbisha ukweli na mawazo ya wananchi na katiba ya warioba, 6 yule mwenye ubinafsi alifikiri kwa kuwapendelea wabunge ccm kweny bunge la BMK angepewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya ccm, huyu mnafiki huyu anampinga lowassa
Msema hovyo Nape , huyu ambaye alihusishwa kuanzisha cham cha CCJ pamoja n sita , anamuunga mkono mtu kama membe, kwanini???
Kabla hatujaanza ushabiki tujiulize, ni kwanini kati ya wagombea wote ni lowassa tu kila siku?
Magazeti ya serikali inayojiita sikivu, serikali iliyoshindwa kabsa kutatua kero za wananchi, inayoendesha mambo kibabe, mfano swala la katiba mpya, migomo, ni kwanini hawa nao wamejikita kumnyoshea kidole lowassa??
Kati ya watia nia wote ni lowassa tu ananyooshewa kidole? kuna nini hapa? ninapata wasiwasi kwanini?? kuna kitu gani katikati hapa?
Sijasikia mtia nia akimsema vibya mwenzake tofauti na Lowassa
Makongoro, Sita, Membe, Makamba, Wassira, Mwigulu wote hawa wamemsema vibaya, lakini si mwingne, Nauliza KUNANI?
Mwisho napenda kushauri ni vema tukaliangalia hili swala kwa mapana na marefu, ushabiki wakijnga utatuletea balaa, tutapata raisi mbovu, mzembe, msema ovyo bila vitendo pasipo vitendo, mwizi, fisadi kuwahi kutokea.
Ifike wakati tunaojiita maGREAT THINKERS tutumia akili zetu kuchambua mambo na sio kuleta ushabiki usio na maana
Usiku mwema.