Kuna nini mbona hawa ndio wanampiga Lowassa!

Kuna nini mbona hawa ndio wanampiga Lowassa!

Mzee Zagazaga

Nadhani mngetuambia basi alietuibia!Maana tunajua ni Lowassa na tume maalum ya kibunge imetudhibitishia hivyo!

Sasa basi kama sio Lowassa ana wenzake basi tuambieni ni nani!Awataje basi...simple!
 
Hivi kwa akili yako inavyokutuma unategemea watu waje na fuko la pesa siku ya mkutano na kuanza kuzigawa kwa raia kama njugu.? Haiyumkini umezidiwa kete na hao wagawa fungu. Next time try to be smart dude.

NB : Nilikuuiza kuwa una proof yoyote ambayo inaweza dhihirisha kuwa pesa hazijagawiwa.?

Huna hoja! subiri kesho jioni upate majibu...Rais Edo, Makamu wake Jaji Ramadha hutaki unaachaa!
 
Back
Top Bottom