Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,607
- 3,188
Tatizo ni pale ambapo mwizi napiga kelele sana kuhusu mwizi mwingine. Sio yeye tu anatumia kisingizo cha kuutumia umaskini kutuibia, yako wapi maisha bora kwa kila mtanzania. Au kati ya wale wanaoteua majina, naomba jina moja la ambaye si fisadi, au kati ya waliotia nia any possible candidate ambaye si fisadi.
My view is usafi is not an issue here. kama issue ni usafi CCM haina mgombea.
Mkuu ni kweli hakuna mgombea aliye msafi CCM lakini wanatofautiana levels za uchafu. Lowassa ni top kwenye hiyo list.
Tiba