Kuna nini M-KOBA?

Kuna nini M-KOBA?

Sina hofu sana huko, na naamini huo mtandao hauwezi kukubali kuchafuka kiasi hicho ila naamini watawafidia tu.

Ingekuwa ni vikoba vya mtaani ningekwambia tayari kimewalamba, anyway pray [emoji120]
Hakika... Mimi wasi wasi wangu upo kwenye uwekezaji wa bonds za serikali.
Kama wanaweza kuturusha kwenye miradi... Wakaiba na kuivuruga chaguzi nadhani huko kwenye bonds sijui hati fungani ni suala la muda tu!
 
Back
Top Bottom